na jina tutaita saint anne. hii biashara ya waziNipeleke mkuu nikajaribu bahati yangu.
Maana huo mwandiko haujawahi nisaidia lolote maishani zaidi ya kupata sifa tu na kuishia kuandika ubaoni sanakila Mwalimu alikuwa akinitupia hiyo kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mashankupe😂😂😂.hatimaye nimelipata desa langu la kitambo Saint Anne hamnidai tena sasa naona aibu mwandiko wa bata huu.
Hannah my dear andika basi hata kimemo cha mapendo mashankupe waone wivu..
View attachment 1857866
Uko vizurihatimaye nimelipata desa langu la kitambo Saint Anne hamnidai tena sasa naona aibu mwandiko wa bata huu.
Hannah my dear andika basi hata kimemo cha mapendo mashankupe waone wivu..
View attachment 1857866
Jinsi vyuma vilivyokaza aisee nitawauzia kwa bei rahisi.na jina tutaita saint anne. hii biashara ya wazi




My father was clinical officer ndo nmemrithi mwandiko ,dah n mwandiko mbaya sanaDoctor like hand writing...
Cc Saint Annehatimaye nimelipata desa langu la kitambo Saint Anne hamnidai tena sasa naona aibu mwandiko wa bata huu.
Hannah my dear andika basi hata kimemo cha mapendo mashankupe waone wivu..
View attachment 1857866






.Nimeona sifa anapewa mwanafunzi tu mwalimu nasahaulika.
Huo ujumbe nimecheka Madam.
Kweli Mwalimu ni Mwalimu tu!
Una mwandiko mzuri wa kike.
Sent using Jamii Forums mobile app




Nimeona sifa anapewa mwanafunzi tu mwalimu nasahaulika.
Asante dear.





.
.
Inabidi waanze na mwalimu..
Bila Mwalimu nisingefika hapa.
Itabidi wakuletee watoto wao ili uwafundishe kama ulivyonifundisha.
Sent using Jamii Forums mobile app



HakikaKweli kabisa, waniletee watoto wao. Lazima wawe na mwandiko mzuri bila kusahau adabu.
Ila una ka mwandiko katamu bhana![]()



Sikia tu raha maana ni kweli ni mzuri kama wa aliyeuandika (wewe).Hakika
Mwee najisikia raha sana mwandiko wangu unavyopendwa
Hadi wewe umeupenda,basi inawezekana kweli ni mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
TobaSikia tu raha maana ni kweli ni mzuri kama wa aliyeuandika (wewe).









Hahahaha kumbe Saint Anne ulikuwa mwanafunzi wa mke wangu? ..
Mashankupe hayana wivu kweli mkuu?Mbona mashankupe😂😂😂.
Kakwambia Nani mashankupe Yana wivu!