Mimi bado naendelea kusema ukweli mpaka Yesu arudi
Sijaja huku kupendwa nina Mungu, Malaika, Yesu, Mume, Watoto na Wajukuu wanaonipenda kila siku inanitosha
Kuna zile shoo za Kihuni (hapa wanaume tu wataanza kunielewa)
Shoo za Kihuni ukipewa hizi na mwanaume wako hata uolewe mara 5 na waliokuoa wote hawajawahi kukupa shoo za Kihuni lazima tu utakumbuka mti wako wa Kwanzaa kama nyani anavyokumbuka mti wake wa Kwanzaa aliojifunzia kuruka
Waume wetu hawa wanakubali na wanapenda kuwapa wake zao shoo za Kihuni (lakini sio michezo ya kuzama mavini ) kwa sababu zifuatazo:
1. Kumlinda na kumhifadhi mkewake hata akichepuka amkumbuke mumewe
2. Kumchunguza kama mkewe alikuwa malaya au kiruka njia au mwoga (hajui-katulia)
Sasa wanapokosea akina mama na dada wenzangu ni padogo tu:
A.We ushapewa shoo ya Kihuni na mumeo au bwanako baaada ya kujikausha kuwa ni shoo mpya kwako (hata kama unaijua), unaanza kumrekebisha bwanako unamwambia sio hivi ni vile
B. Ukigombana na bwanako unaanza kumwambia ndio mana haupo vizuri kitandani kama wenzako
Me bado naendelea kusema shoo za Kihuni ndio zinalinda ndoa (uchumba) ndio zinazofanya wachumba kuingia kwenye ndoa fasta
Me na uzee huu bado narudia shoo ya 5 ya Kihuni ambayo mume wangu alinipa. .. dah ile shoo kudadeki nikiikumbuka silali na yeye anakuwa ashajipanga kunipa shoo ya mwaka 2018 me nadai shoo namba 5.. taaaamu iyo kiru ndoroooboeee
Wanaume nadhani mmenielewa naombeni muendelee kujifunza shoo za Kihuni mana ndio zinalinda ndoa
Nyie akina dada endeleeni kukosoa wadogozetu na kaka zenu na bwana zenu kuwa hawajui kuwapa shoo za Kihuni
Ni hayo tu kwa Leo