Story bora za mapenzi nilizowahi kuzisoma hapa JF ❤️📖

Story bora za mapenzi nilizowahi kuzisoma hapa JF ❤️📖

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
8,391
Reaction score
14,927
Mimi napenda sana kusoma love stories, na kwa hapa JamiiForums nimewahi kusoma stories kadhaa za mapenzi. Lakini kuna story tatu ambazo kwangu mimi nimeziona ni best kabisa.

Hizi ndio top 3 zangu:

1. Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na mwanamke wa ajabu – INSIDER MAN

2. How I Met My Wife – KigaKoyo

3. Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu, Durban South Africa, yalivyotaka kunitoa roho – Konda Msafi

Kwangu mimi hizi ndio best love stories nilizowahi kuzisoma hapa JF. Kuna namna waandishi walivyoweza kusimulia mpaka unajikuta unaendelea kusoma bila kutaka kuacha. 😂❤️

Kama kuna nyingine ambazo mnaona ni kali kama hizi au hata kuzizidi, naomba mtaziongeza hapa ili tuzipitie.
 
The best of the best.
Hamida ni nai?? January 2020 ilitrend video ya mtu akigalagala kwenye tope akimlilia mpenzi wake aitwae Hamida. Msimuliaji wa hii stori akatumia jina hilo la hamida kama main character wa story yake.

Hiyo ya kigakoyo kadri episode zilivyoendelea ilitoka kwenye true story na kua story.
 
The best of the best.
Hamida ni nai?? January 2020 ilitrend video ya mtu akigalagala kwenye tope akimlilia mpenzi wake aitwae Hamida. Msimuliaji wa hii stori akatumia jina hilo la hamida kama main character wa story yake.

Hiyo ya kigakoyo kadri episode zilivyoendelea ilitoka kwenye true story na kua story.
Hii story nikipataga muda narudiaga tena kusoma. Ni hatari.
 
Konda msafi story yake ni kali sana ila alishindwa namna ya kuipangilia kwa mtiririko mzuri mpaka ikapoteza mvuto, binafsi nilipotea na sijui iliishia wapi na iliishaje
 
Konda msafi story yake ni kali sana ila alishindwa namna ya kuipangilia kwa mtiririko mzuri mpaka ikapoteza mvuto, binafsi nilipotea na sijui iliishia wapi na iliishaje
Yeah ni kweli story yake kali ila mpangilio wa hovyo
 
1. Kula tunda kimasihara - rikiboy
2. Mliowahi kuchapiwa tukutane hapa, yule jamaa hatokaa asahau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom