Kauli za kihuni Bungeni zipigwe marufuku

Kauli za kihuni Bungeni zipigwe marufuku

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,748
Reaction score
5,116
Kauli za kihunihuni bungeni zimekuwa nyingi sana utafikiria bungeni magetoni kwao bunge linatakiwa kuheshimiwa sana

Bunge la awamu hii ni la ajabuajabu limejaa wahuni wahuni tu kazi kicheka hovyo hovyo
Kauli hii ya Esther bulaya" nimekoshwa na bajeti ya trillion 2.3 " hii ni kauli ya kihuni huwezi kuizungumza bungeni

Mumeo hakukoshi ila bajeti imekukosha
😂 😂 😂
Baadhi ya kauli zipige marufuku kutumika bungeni
 
Wewe hayo maneno unayasikia wapi? Kwani bunge linaonyeshwa?
 
Bunge halina hata mtu mmoja wa kuwa challenge wanajitekenya wenyewe wanacheka kwa upande wangu sinaga mzuka kabisaaa tokea enzi 2020 sitaki kabisa kuwasikiliza
 
Bunge halina hata mtu mmoja wa kuwa challenge wanajitekenya wenyewe wanacheka kwa upande wangu sinaga mzuka kabisaaa tokea enzi 2020 sitaki kabisa kuwasikiliza
Kwani kuna haja gani awesome kutuonyesha wake zake bungeni au yeye ndie wa kwanza kuoa wake wawili 😂
 
Kwani kuna haja gani awesome kutuonyesha wake zake bungeni au yeye ndie wa kwanza kuoa wake wawili 😂
Vya maana sana hakuna mle, imagine spika anatambulisha wake wa aweso kwa Ruto! Huo ujinga anaweza kuufanya spika wa bunge la Kenia kweli?
 
Back
Top Bottom