Sholo mwamba: We Mama Achia body.....!!!!

Sholo mwamba: We Mama Achia body.....!!!!

niliudhuriaga mara moja ila kwa burudani niliopata na kuona nilianzishaga mtindo wa kuruka ukuta na kwenda kwny vigoro na kurudi home saa 10 asuhuhi kabla watu hawajamka
Hahahah
 
Humohumo ndio akina Diamond wametokea. Hata Mimi nime-miss sana mambo hayo. Huku Kimara niliko sasa sio kama Mwananyamala. Disco vumbi taarabu majimama ya kumwaga full kubambia. Tena kuelekea Ramadhani sasa hivi harusi kibao na muziki kila kona.
 
Humohumo ndio akina Diamond wametokea. Hata Mimi nime-miss sana mambo hayo. Huku Kimara niliko sasa sio kama Mwananyamala. Disco vumbi taarabu majimama ya kumwaga full kubambia. Tena kuelekea Ramadhani sasa hivi harusi kibao na muziki kila kona.
Majimama kali zake sana kwenye vigodoro
 
Namshukuru Mungu nimeondoka dar la sivyo sasahivi ningesha potea maana ule mwendo nilokuwa nao kila nikikumbuka machozi yananitoka sitaki kabisa kuishi dar
 
Achana na sholo mwamba,sasa kuna muhuni mwingine huyo wa kuitwa Man Fongo!
Anakwambia,"poa we nukia pafyum,mi nanuka kwapa".
Pooole pole,hauna
Pole tena,hauna
Bruuukua,wahuni wanataka tena!

YNWA

Ahahahaaaaa classic.
 
Back
Top Bottom