Sholo mwamba: We Mama Achia body.....!!!!

Sholo mwamba: We Mama Achia body.....!!!!

ila tuache masihara huu mziki wa genre ya singeli ndo bongo fleva ya kizazi kipya ni aina mpya ya muziki na itakuja kuwa popular sana nyakati zijazo.hawa kina man fongo dogo nigga sholo mwamba na wengineo watakuja kuwa ma legend baadae.ukiangalia historia ya huu mziki inakuja kufanana na jinsi reggeae na dancehall zilivyoanza.
 
Kuna video nyingine imesambaa ya uswazi wanacheza wanaume kama wamevurugwa wimbo unaitwa Kambale...khaaaa
 
Mi jana kumepita kigodoro hapa barabarani bwana watu wamepiga madera ya sare wanakata mauno pekupeku...Cjui nani alikua anaenda kuchambwa???
 
Aisee yaani huko Dar sijui watu wanaishije ngoja niuze nyumba ya urithi nije kujionea mwenyewe nimechoka kusimuliwa.
Teh teh teh njoo uone maana ya singeli manyota
 
Mm napenda kusikiliza hule wa muda wa kubet.....muhind ndio boss wetu....muhind ndio baba yetu
Mchizi hajawahi kufundishwa ila anatafsiri fixtures aibu uuuuu
 
Hizo ni zaidi ya Chura, mamlaka zipo wapi? Wanachelewa nini kukomesha hii kitu.
hizi za kiswazi hata mamlaka ije na moto wa kuzimu hawawezi kuzizuia,ngoma zinapigwa kwenye vigodoro,bodaboda,vilabu vya gongo uswazi..life inasonga.achana na kitu kikiwa damuni mwa raia hata ufanyaje huwezi zuia...achia bodi mamaa mojamoja dondoshaaa achia bodi mama moja moja dondosha we zungusha zungusha zungusha....we cheza singeli..... masela cheza singeli.....
 
Hapo hao watt future yao ishaharibika" kuna dogo mmoja kampima oil mdada hapo daah watt wadogo uswaz wameharibikiwa sana
halafu hao watoto asilimia kubwa hawawajui baba zao kudadeki,hiyo ndo sifa kubwa ya uswazi watoto wengi hawana baba(wametelekezwa)...
 
Temeke yote hakuna afadhali/ri
Kinondoni
Mwananyamala
Sinza
Haya maeneo yote yana sifa moja
 
Mwaga maji! mwaga maji! hahaha baada ya mchiriku hii singeri ndo mbadala wake
 
ila tuache masihara huu mziki wa genre ya singeli ndo bongo fleva ya kizazi kipya ni aina mpya ya muziki na itakuja kuwa popular sana nyakati zijazo.hawa kina man fongo dogo nigga sholo mwamba na wengineo watakuja kuwa ma legend baadae.ukiangalia historia ya huu mziki inakuja kufanana na jinsi reggeae na dancehall zilivyoanza.
Sure mkuu unaanza Kua widely spread all over TZ. Mi nimeshangaa sana Pemba kuckia ngoma za Yuda msaliti zinapigwa club
 
niliudhuriaga mara moja ila kwa burudani niliopata na kuona nilianzishaga mtindo wa kuruka ukuta na kwenda kwny vigoro na kurudi home saa 10 asuhuhi kabla watu hawajamka
 
Back
Top Bottom