Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,809
- 152,949
Nahisi huyo ndugu yake atakuwa lab technician wa VETA coz wizara imechemka kwani kuna wengine wameajiriwa kwenye hospitali zetu, au anaweza kuwa lab tech wa magumashi!!
lab tech aliyeiva na ambaye amepitia medical system si rahisi kutoa siri za wagonjwa.
Tena ninavyofahamu akinamama wajawazito very rarely wanaenda maabara kucheck HIV satus, taratibu zinawataka wafanye rapid tests hapo hapo clinic, wanaiita comprehensive supermarket approach
Unasoma mtu kama huyu unaona kabisa huyu anafahamu taaluma ni nini na tatizo letu liko wapi.