Mambo ya msingi kama yapi? Wewe na akili zako hujui maana ya forum' hapa sifanyi dissertation.. Hii ni forum kaka . Hhahaa halafu acha kum follow
Kiranga atakupoteza simama wewe kama wewe, huyu jamaa anaweza kubishana na JF nzima na akashinda
Haha..kama haya
KUJIFUNZA:
1. Kubali kukosolewa(constructively) , ili hata kama next time ukileta "habari" waru wasii-discredit kupitia tu uzoefu wa nyuma.
-Kuanzisha thread haimaanishi ndiyo uelewa wako uko mwisho.
2. KUWA THABITI: katika post fulani ulisema ninamuiga mkuu Kiranga, nikakujibu hebu nionyeshe hapo "nilipomuiga"..HUJAFANYA HAYA!
3. (INGAWA SIKUTAKA KUINGILIA HILI)
-Ulimtaja kama mkuu Kiranga=Jmakamba...tuchukulie ndiye yeye, kuna ubaya aki-comment?? hana haki??
let's say siyo huyo Mh. J.Makamba, huoni unamchafus jina kwa assumption?? if not assumption unaweza ku-prove??
4. SHOCKING NEWS:
Shocking news ni nini? unadhani ikiwa "shocking news" kwako ndiyo kwa kila mtu??..Ni nani asiyejua kuwa kuna UKIMWI??
-Yaani, kwa kupima watu 6 mtu anafanya conclusion??..Nikisimama barabarani leo na kupima wajawazito/watu kadhaa na wasiwe na VVU, na mimi nianzishe thread kusema "Shocking news-UKIMWI hakuna"?!!
-Hivi ndiyo takwimu zinavyochukuliwa?
5.ETHICS:
-Umeongelea mambo ya reseach kuwa si kazi yako, nimekuuliza maswali kwanini huyajibu? ni kazi ya nani?Nikakuuliza kazi yako ni ipi(lengo nikutaka kujua kazi gani isiyo na ethics)..hakuna!! hata kama hautaelekezwa kazini, kupitia maisha ya kila leo utajifunza.
-Ukaongelea suala la dissertation, je wakati ukifanya hiyo research hakukuwa na mambo ya ETHICAL CLEARANCE?? kama yalikuwepo unadhani ni kwanini?
-Then kwa nini ikija katika sekta ya Afya isizingatiwe?!!
6. LUGHA KALI:
Nilikuuliza definition yako ya muathirika ni ipi? hasa ulizingatia thread hii?
Umeita wale wanaokukosoa ni waathirika!!!
-Let's say ni kweli, kuna ubaya wakicomment?
-Let's say si kweli, utathibitisha hayo uliyoyasema hata wakikuomba ufanye hivyo?
-Umetumia lugha ya matusi wanaokupinga ni "Morons", unadhani hii ni sawa?..Kwa nini tusijadili kwa kuleta facts tu hapa, kuliko kuonyeshana uwezo mkubwa wa kutusi?ili iweje anyway?