Kiranga kwahiyo hata taarifa tunazopewa za maambukizi mapaya au Tanzania ina wagonjwa kadhaa wa ukimwi nayo ni makosa?
Walioweka confidentiality si wajinga.
Kitendo chako wewe kuja JF kusema mnaongea na nduguyo Lab Techcician kuhusu afya za watu tayari kinaondoa confidence miongoni mwa watu kwamba habari zao zinawekwa kwa faragha inayotakiwa.
Wengine watasema umesema tu kwamba hajataja majina kwa sababu kusema kataja majina ni soo, ila majina kataja, na wao wataogopa kwenda kupima.
Kukataa kwao kwenda kupima kutaongeza maambukizi.
Unaposema "tutaangamia wote" kwa simplistic approach ya kufikiri kuvunja faragha ndiyo jibu, unaweza kujikuta unapalilia kuangamia wote kwa sababu ya kuondoa imani ya watu juu ya uwezo wa system ku keep mambo ya afya zao confidential.
Kiranga kwahiyo hata taarifa tunazopewa za maambukizi mapaya au Tanzania ina wagonjwa kadhaa wa ukimwi nayo ni makosa?
Hapana,
Hizo taarifa zinatolewa officially kwa kuzingatia misingi ya faragha za wagonjwa, hazitolewi na ma Lab Technician wanapopiga soga na ndugu zao.
Lab technician akiwa anapiga story na ndugu yake kuhusu habari za kazi yake, halafu ndugu yake anataka ku test zali sehemu, ndugu mtu anauliza "pale vipi?" na Lab Technician anajua jibu positive, unafikiri ataacha kusema?
Ndiyo maana nasema suala zima la ku discuss haya matokeo one on one na ndugu zake ni makosa kwa huyu Lab Technician.
Kinachotakiwa hapo ni habari kutolewa kiujumla kwa watu wote, kiasi kwamba mtu asihitaji kuwa na ndugu Lab Technician ili kujua hali halisi.
well said mkuu.
hiyo concept yako hewa ita apply under conditions that other things remain constant.
In other way naweza kusema kuwa hii thread yangu imewafumbua watu including you kuwa ukimwi upo na inabidi tuwe makini tutumie kinga na tujilinde kwani situation is worse right now. Kwa hiyo Kiranga acha kujenga hoja finyu hapa hutoeleweka. Mimi kuleta uzi kama huu hakuna kosa lolote .kama ni kosa basi hata serikali na nchi zote wanakosea wanavyotoa idadi ya waathirika na sehemu zenye maambukizi kwa wingi.
Kuna ndugu yangu anafanya kazi kama lab technician. Kaniambia kuwa watu wanaokuja kupima damu % kubwa wana ngoma. Nikamwambia toa mfano.
Akaniambia leo kapima wadada wajawazito sita. Na wanne kati yao wana virus vya ukimwi na umri wao ni kuanzia miaka 18-23.. So guyd watch out. Na hao wadada wote wameolewa .
So jiulizeni mko wangapi? Its really shocked me. Jamani tuache haya mambo tutaisha hasa kwenye ndoa huko mmmh!!! Haya
Hapana,
Hizo taarifa zinatolewa officially kwa kuzingatia misingi ya faragha za wagonjwa, hazitolewi na ma Lab Technician wanapopiga soga na ndugu zao.
Lab technician akiwa anapiga story na ndugu yake kuhusu habari za kazi yake, halafu ndugu yake anataka ku test zali sehemu, ndugu mtu anauliza "pale vipi?" na Lab Technician anajua jibu positive, unafikiri ataacha kusema?
Ndiyo maana nasema suala zima la ku discuss haya matokeo one on one na ndugu zake ni makosa kwa huyu Lab Technician.
Kinachotakiwa hapo ni habari kutolewa kiujumla kwa watu wote, kiasi kwamba mtu asihitaji kuwa na ndugu Lab Technician ili kujua hali halisi.
Na Lab Technician asiingie majaribuni kuvunja miiko ya kazi yake.
Nilitaka kuuliza hivyo hivyo...sioni umuhimu wa usiri kwenye hili as long as hajataja jina.
Ubishi usio na msingi. Tatizo lako wewe unaweza ukabisha kuwa huvuti hewa na ukashinda.
Mkuu nyumba kubwa,
Umuhimu upo,..si lazima utaje jina...hata viapo vyetu vinasema..utajadili/kutoa taarifa za patient/client kwa daktari/mhudumu wa sekta ya afya tu ..TENA kwa ajili ya MANUFAA ya mgonjwa!
Takwimu, hujumuisha kundi kubwa/jumuiya(population) na lengo si kwa ajili ya manufaa ya mgonjwa moja kwa moja...na hii huweza kufanywa na hata wale wasio na ubia na Sekta ya Afya moja kwa moja.
what about other side of the coin?
and what that side might be?
all that am saying is ..HIV/AIDS is there, at times somewhat we use some ways(incorrect ways) though with good intention(s)..
CONSIDER:
If i tell my wife what happened at the clinic(Antenatal clinic, ANC) today that just few clients(let's say three,3) came by today,probably b'se of the weather-(that it was raining).. and unknowingly my wife's friend was among them, say my wife knew she wanted so bad to come to the ANC,..dont you think there's a leak of information(despite my good intentions to tell her of how "big" the problem is??
-Was that the only way i could use to tell her?
- Cant that lead to social stigmatization btn the two?
kwanza hao walioenda kupima waliondoka na majibu yao. So tatizo hapa liko wapi? Kiranga the topic is not about existence of God here we are talking about aids with direct impact in our daily life . Lazima tujue ukweli na tusifichane tukificha tutajua kuwa watu wote ni safi kumbe percent kubwa ni waathirika