Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
ninyi gombaneni,bishaneni lakini ukimwi utawamaliza,mimi ninachojali ni kwamba anachosema ni cha kweli au kinakaribiana na ukweli basi,haya mengine malimbano tu.
hamtasaidiwa msipojisaidia.Mmmh Mungu atusaidie kwakweli
ninyi gombaneni,bishaneni lakini ukimwi utawamaliza,mimi ninachojali ni kwamba anachosema ni cha kweli au kinakaribiana na ukweli basi,haya mengine malimbano tu.
Hiyo hapo hata si takwimu, ni sexism tu, hao wasichana wa miaka 18-23 wanakuwa moto peke yao?
Au ndo maswala ya Watalibani, msichana hata kama kabakwa, anapigwa mawe kwa kuondolewa bikira?
Sasa mwishowe hata speculations, generalizations na truisms kama mtu kusema "Tanzania kuna UKIMWI sana" tutaita takwimu.
Ivi wewe ni kitu gani ambacho hujui hapa duniani.
Make hata topic za mbinguni na motoni unazijua kabla ya mwanzisha mada, mambo ya space usiseme!!!
Inawezekana kweli?
Ivi wewe ni kitu gani ambacho hujui hapa duniani.
Make hata topic za mbinguni na motoni unazijua kabla ya mwanzisha mada, mambo ya space usiseme!!!
Inawezekana kweli?
Tatizo ni wewe unaposhindwa kuweka evidence ya ku yeye anavuta hewa na unakuja na majibu ya jumla jumla lazima akushinde. Ukiangalia hii thread mtoa mada anashindwa kuelewa kua watu hawabishi utoaji wa taarifa ila kinachobishiwa hapa ni kwenda kinyume na kutoa hizo taarifa, Ethics za kazi zipo na huyo lab tech amezivunjahuyu mchizi Kiranga huwa ananifurahisha sana anaweza akabishana jambo lolote lile na akashinda hata kama ni la uongo linaweza likaonekana la kweli kwa mfano anaweza akabishana havuti hewa na akashinda!
Tatizo ni wewe unaposhindwa kuweka evidence ya ku yeye anavuta hewa na unakuja na majibu ya jumla jumla lazima akushinde. Ukiangalia hii thread mtoa mada anashindwa kuelewa kua watu hawabishi utoaji wa taarifa ila kinachobishiwa hapa ni kwenda kinyume na kutoa hizo taarifa, Ethics za kazi zipo na huyo lab tech amezivunja
Hapo kwenye majibu ya jumla umepiga ugoko mkuu.
Yaani unakuta mtu kaja na preconceived simplifications huko. Anaona "kutoa habari za kuhusu HIV/AIDS = kitu kizuri katika vita dhidi ya HIV/AIDS".
Ukianza kumueleza kuna taratibu na ethics anaona unamletea usiku.
Kupenda majibu rahisi kwa maswali mazito kunatuangamiza.
huyu mchizi Kiranga huwa ananifurahisha sana anaweza akabishana jambo lolote lile na akashinda hata kama ni la uongo linaweza likaonekana la kweli kwa mfano anaweza akabishana havuti hewa na akashinda!
Kiranga ni mbishi atakuwa wa mwisho wa reli nini coz wanaweza panda na mzigo kichwani kuanzia dar hadi kgm bado ajautua
Kuna jamaa anafanya kazi kama lab technician. Kaniambia kuwa watu wanaokuja kupima damu % kubwa wana ngoma. Nikamwambia toa mfano.
Akaniambia leo kapima wadada wajawazito sita. Na wanne kati yao wana virus vya UKIMWI na umri wao ni kuanzia miaka 18-23.. So guys watch out. Na hao wadada wote wameolewa.
So jiulizeni mko wangapi? It really shocked me. Jamani tuache haya mambo tutaisha hasa kwenye ndoa huko mmmh!!! Haya