Shocking News; Kweli ndio tumefika huku?

Shocking News; Kweli ndio tumefika huku?

Iv unajua kuna aina ngapi za statistics? Usinijibu kwa misamiati!, twende taratibu.
Ivi ebola ilivyotokea kigoma na mwanza, wale wagonjwa waliombwa kwanza ridhaa yao ili sisi tutahadharishwe na mkuu wa mkoa au dr wa mkoa kupitia vyombo vya habari!??

You are trying to prove a case in maths by using it's identity, 0 for addition and subtraction, 1 for multiplication and division. Obviously you will be in a Turkish two-step.

You can't draw a parallel from a singularity.

Na huwezi kulinganisha takwimu za mkoa zinazotolewa rasmi na habari za kliniki moja zinazotolewa na Lab Technician over dinner.

Check your flow.
 
You are trying to prove a case in maths by using it's identity, 0 for addition and subtraction, 1 for multiplication and division. Obviously you will be in a Turkish two-step.

You can't draw a parallel from a singularity.

Na huwezi kulinganisha takwimu za mkoa zinazotolewa rasmi na habari za kliniki moja zinazotolewa na Lab Technician over dinner.

Check your flow.

Kaka nijibu basi hata hilo la "kuna aina ngapi za statistcs" ili tujua pa kukusaidia.
 
Mie nilifikiri wana UKIMWI kumbe wana "ngoma".
 
You are trying to prove a case in maths by using it's identity, 0 for addition and subtraction, 1 for multiplication and division. Obviously you will be in a Turkish two-step.

You can't draw a parallel from a singularity.

Na huwezi kulinganisha takwimu za mkoa zinazotolewa rasmi na habari za kliniki moja zinazotolewa na Lab Technician over dinner.

Check your flow.

Kwa hiyo clinic moja au lab tech hawezi kutoa takwimu?!
Mbona assistant reg officer tena wa form 4 (nna ushahidi, mwaka 2000 nilisimamia kituo) mwisho wa kupiga kura anatangaza matokeo ya kituo kimoja?

Halafu ishu ya ebola haikufanyika utaratibu ulioutsngaza apo juu. Ni mgonjwa alihisiwa na tukatangaziwa tuchukue tahadhari.

Ndo mana nakuuliza unajua kuna aina ngapi za takwimu?
 
Kwa hiyo clinic moja au lab tech hawezi kutoa takwimu?!
Mbona assistant reg officer tena wa form 4 (nna ushahidi, mwaka 2000 nilisimamia kituo) mwisho wa kupiga kura anatangaza matokeo ya kituo kimoja?

Halafu ishu ya ebola haikufanyika utaratibu ulioutsngaza apo juu. Ni mgonjwa alihisiwa na tukatangaziwa tuchukue tahadhari.

Ndo mana nakuuliza unajua kuna aina ngapi za takwimu?

Umemshika .. Atakuja na vingereza vyake toka google
 
Kaka nijibu basi hata hilo la "kuna aina ngapi za statistcs" ili tujua pa kukusaidia.

Unaweza kuchagua namna yoyote ya kuainisha vitu, na ukawa na aina nyingi tu.

Mtu mwingine anaweza kuchagua ku typify statistics kwa mujibu wa presentation (numerical, pictorial etc).

Mwingine akaamua ku typify kwa mujibu wa content akabase kwenye description aspect zaidi. Think Magufuri.(detailed, big picture, combination).

Mwingine akaangalia methodology zaidi aka zi typify statistics kutokana na sample spaces kubwa, za kati, ndogo et. Inferential.

Unaweza kusema kuna aina za statistic inferential na descriptive, mwingine akakwakmbia kuna numerical na pictorial, na wote mkawa sawa. Mmoja ana typify kwa mujibu wa content, mwingine kwa presentation. Mwingine anaweza kukupangia aina kwa mujibu wa utility na durability. Kwa hiyo bila kujua unachotaka ni nini swali lako butu.

Kuna namna chungu mzima, na mbali na "types of statistics" kuna "types of types of statistics". Mambo ya metadata hapo kwa wanaojua mambo ya database design yanaingia.

Kwa hiyo swali lako limeulizwa kama mtu fulani aliye cram darasani kafundishwa "kuna type hizi za statistics", in a one track minded fashion, akaona hiyo ndo gospel.

Bila ya kuelezewa zaidi swali lako halina maana kwa sababu lina majibu mengi sana.

You might as well ask me "Kuna aina ngapi za rangi ya bluu?" Au "kuna aina ngapi za accounting?". Kabla ya swali kujibiwa inabidi ueleze unauliza kutoka frame of reference gani? Unazungumzia school of thought ipi?

Unaweza kuuliza "Kuna aina ngapi za Greek columns" kwa matazamio kwamba umetoa frame of reference kama Greek Architecture na mtoa jibu anajua pa kuanzia kukupa jibu. Lakini ukiuliza "Kuna aina ngapi za columns". Mie naweza hata kusema "Columns za mama Rwakatare" kwamba ni special type ya column kwa sababu zimepata upako maalum wa kanisa ku withstand an 8.5 Richter scale earthquake, hujatoa frame of reference.

Mie si mtu wa kukariri.

Wewe unataka kuainisha statistics kwa msingi gani au kwa uanazuoni gani? Kwa madhumuni gani?

Angalia unaweza kusaidiwa na unaotaka kuwasaidia.
 
Kwa hiyo clinic moja au lab tech hawezi kutoa takwimu?!
Mbona assistant reg officer tena wa form 4 (nna ushahidi, mwaka 2000 nilisimamia kituo) mwisho wa kupiga kura anatangaza matokeo ya kituo kimoja?

Halafu ishu ya ebola haikufanyika utaratibu ulioutsngaza apo juu. Ni mgonjwa alihisiwa na tukatangaziwa tuchukue tahadhari.

Ndo mana nakuuliza unajua kuna aina ngapi za takwimu?

Clinic moja inaweza kutoa takwimu.

Nimeeleza juu hapo vitu vya kuzingatia uweze kutoa takwimu hata za mtaa mmoja, licha ya clinic.

Angalia hapa
 
Kuna mtu mmoja anajulikana kidogo huku nakoishi, alishasema yeye kupima VVU nchini labda awe hajitambui, sababu hiyo hiyo ya confidentiality haipo.

Kisha mimi nilidhani tatizo la wale wasiotaka kupima hadi apate safari nje ya mkoa ni kubwa, wakati kuna watu hadi wavuke mipaka ya nchi!

Miaka kadhaa nyuma, nikiwa likizo Bongo, shoga yangu mmoja alilazwa hospitali akiwa mahtuti. Huyu msichana ana damu O negative kwa hiyo damu huwa haipo hospitali ("kijijini" huko)

Kwa hiyo mimi na dada yangu tukaambiwa tujitayarishe anytime tutaitwa tukatoe damu aongezewe.

Nilichoka tulipoenda kupima VVU. Mmoja kati ya lab technicians, ananijua mimi, dadaangu na huyo mgonjwa! Akaanza story hapo hapo kuhusu mgonjwa, alipoumwa wakati mimi sipo Bongo na kuwa afadhali safari hii wapo watu wa kumpa damu.

Hapo ndipo nilipoelewa kwa nini watu wanasema hawapimi hapo "kijijini" hadi watakapopata trip nje ya mkoa
 
Gaijin, usishangae hata wanaochukua arv wanaenda kufuata mkoa mwingine. Kuna mtu niliingia msituni kuhakikisha anapata kituo cha kuhudhuria mbali na makazi yake, na kupata direct access ilu asipange foleni. Safari ndefu sana bado
 
Last edited by a moderator:
Tanzania =gossip so wadau sijui mnahangaika nini.. Hawa watabibu wetu hawana siri hata moja
 
Mkuu nyumba kubwa, utakuwa umenielewa vibaya,

Kujibu swali, lako ndiyo utapata takwimu zote unazohitaji ili mradi tu, umezingatia hizo ethics..na hata katika research si ndiyo kuna ethical clearance mkuu??

TUTAKUWA ni wananchi wa ajabu kukataa kuongelea UKIMWI na ni kila leo watu wanapoteza maisha(watoto kwa watu wazima).

TAKWIMU:
Takwimu zinatoka kila leo, na mfano mzuri ni ule aliotoa Mkuu KakaJambazi.

Sasa nilichokisema katika comment ni kwamba, hata takwimu hizi huwekwa kwa njia fulani(kama kwa mwaka fulani..mkoa fulani .nk)

LAKINI,

Katika mfano aliotoa Black bat, ni kuwa katika kituo fulani idadi ya wajawazito 6 waliopima wana UKIMWI, ndiyo nikasema

Inawezekana kwa mtu yule anayemfahamu nduguye Black bat, au hicho kituo na kulingana na maelezo kuwa asilimia kubwa ya walioenda kupima siku hiyo 4 kati ya 6 wana UKIMWI.

Je,hakuna uwezekano wa mtu kutambua ni nani mwenye UKIMWI katika idadi ndogo hiyo(hata kama hana)?

-Katika sehemu zenye wakazi wachache, ni ngumu watu kupima kwasababu tu "takwimu" kama hiyo ikitoka wanatambua ni nani alikwenda kupima, na wengine kuogopa kupima si kwa kuhofia UKIMWI, ila kwa kuhofia atajulikana,kwani ndiyo matarajio yao makubwa!

-Lakini mkuu, kumbuka huwa tunapima zaidi ya mara moja kwa sababu kadhaa, wakati mwingine utasikia "alipima akaambiwa hana ingawa mwanzoni aliambiwa anao"..na hapo katika jamii yetu unyanyapaa ukishika kasi.

Hivyo SIJAPINGANA na SITAPINGANA kabisa na mkuu Black bat katika kuongelea swala hili, lakini hata yeye nafahamu alikubali kuna maadili yanapaswa kufuatwa.

LENGO LA THREAD:
Kulingana na maelezo ya mwanzisha uzi, alidhamiria tuone na tujikumbushe kuwa UKIMWI upo na nizaidi ya tunavyofikiri, na NINAKUBALIANA naye...mengine kama ethics yalikuwa ni kukumbushana TU.
great thinker.
 
hivi kweli ngoma bado ipo? Sidhani, kama ipo rate yake ya kuua ni ndogo sana.
 
Waego ni kweli kabisa mimi dada yangu ni daktari wa IMTU hospital anakuambia hali ni mbaya sana hasa wadada utakuta mdada mzuriiii,mkali,mdogo lakini ndo hivyo tena
sasa uje kwa wababa anakuamba mpaka anaogopa hali ilivyo
na huu ukimwi kuisha ni ngumu age ya wasichana 18-23 wanakuwa moto sana wanatikisa na pengine bado wanasoma malecturer wanawataka,wafanyakazi,wanafunzi wenzao yaani ilimradi fujo tu
uje kwenye umri wa mijibaba wao wanatumia fedha kama fimbo ya kuwachapia wanawake kimapenzi
mi naogopa sana mambo yote nafanya lakini sikosi condom kwenye handbag mhhh hayo mambo yakuishi kwa matumaini hapana taka mimi
 
Mie nilifikiri wana UKIMWI kumbe wana "ngoma".

yani tukisema CCM wanautindio mnasema tunawatukana
sasa ni nini hiki ulichochangia
au na wewe mmojawapo unausambaza kama huna akili vizuri
 
Tahadhari iliyotolewa ni muhimu sana, hali ni mbaya tutaangamia tusipokuwa makini.
 
Waego ni kweli kabisa mimi dada yangu ni daktari wa IMTU hospital anakuambia hali ni mbaya sana hasa wadada utakuta mdada mzuriiii,mkali,mdogo lakini ndo hivyo tena
sasa uje kwa wababa anakuamba mpaka anaogopa hali ilivyo
na huu ukimwi kuisha ni ngumu age ya wasichana 18-23 wanakuwa moto sana wanatikisa na pengine bado wanasoma malecturer wanawataka,wafanyakazi,wanafunzi wenzao yaani ilimradi fujo tu
uje kwenye umri wa mijibaba wao wanatumia fedha kama fimbo ya kuwachapia wanawake kimapenzi
mi naogopa sana mambo yote nafanya lakini sikosi condom kwenye handbag mhhh hayo mambo yakuishi kwa matumaini hapana taka mimi

Hii takwimu ndo ambayo Kiranga hataki kuisikia, mpaka uwe umeomba ridhaa ya wahusika, na ndo chazo cha hii thredi kufika huku.
 
Last edited by a moderator:
Hii takwimu ndo ambayo Kiranga hataki kuisikia, mpaka uwe umeomba ridhaa ya wahusika, na ndo chazo cha hii thredi kufika huku.

Hiyo hapo hata si takwimu, ni sexism tu, hao wasichana wa miaka 18-23 wanakuwa moto peke yao?

Au ndo maswala ya Watalibani, msichana hata kama kabakwa, anapigwa mawe kwa kuondolewa bikira?

Sasa mwishowe hata speculations, generalizations na truisms kama mtu kusema "Tanzania kuna UKIMWI sana" tutaita takwimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom