Shirika halijajibu Hoja za Mkaguzi ya kuwa linajiendesha kwa Hasara, limeona liandae futari kwenye hoteli ya kifahari

Kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kujiendesha Kwa Hasara ni shirika la TTCL mpaka imefika hatua inashauliwa yakuwa lianchane na biashara ya kuuza line libakie kusimamia barua za sanduku la posta na mkongo wa Taifa.

Kabla halijajibu Hoja Kwa Nini linajiendesha Kwa Hasara linaandaa FUTARI NA MGENI RASMI NI WAZIRI WA HABARI, fedha za kuandaa futari zimetoka wapi?mnaendelea kututia hasara hivi kama mti husio zaa UNAAMBIWA ungolewe shambani hauna tija,wewe uzalishi unakulaje?

Sisi WANANCHI tuliopo huku Aliko aliyekuwa anaongoza shirika ilo tupo mbioni kumfukuza haiwezekani tuongozwe. Na mkuu wa mkoa aliyearibu shirika la Umma nyie mnandaa futari?na picha mnapiga mnavyosonsomora aise?
Fikirieni mara mbili!.
View attachment 2585988View attachment 2585989View attachment 2585990View attachment 2585991
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye (Mb) amekuwa Mgeni Rasmi katika Futari iliyoandaliwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam Tarehe 12 Aprili, 2023.
Ni kiona lile bichwa la nape kama box naonaga anabahati sana kwa kweli ya kuwa zero brain hadi kuwa waziri wa wizara inayohitaji akili kubwa
 
Ushahidi wa wazi jinsi taasisi zinavyoendesha ufisadi wa kimfumo(cartels).
Waziri anayejitambua na muadilifu asingekubali huo ujinga!
Ni wazi kwamba Nape Nbauye yuko kwenye payroll ya hawa majizi!
Nape ameshaakuwa billion kwa sasa .ananenepeana hovyo
 
Ushahidi wa wazi jinsi taasisi zinavyoendesha ufisadi wa kimfumo(cartels).
Waziri anayejitambua na muadilifu asingekubali huo ujinga!
Ni wazi kwamba Nape Nbauye yuko kwenye payroll ya hawa majizi!
Waache waendelee kujazana matumbo kisukari kinawasubiri
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye (Mb) amekuwa Mgeni Rasmi katika Futari iliyoandaliwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam Tarehe 12 Aprili, 2023.
Halafu huyu ndio atawapinga kweli??
 
Kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kujiendesha Kwa Hasara ni shirika la TTCL mpaka imefika hatua inashauliwa yakuwa lianchane na biashara ya kuuza line libakie kusimamia barua za sanduku la posta na mkongo wa Taifa.

Kabla halijajibu Hoja Kwa Nini linajiendesha Kwa Hasara linaandaa FUTARI NA MGENI RASMI NI WAZIRI WA HABARI, fedha za kuandaa futari zimetoka wapi?mnaendelea kututia hasara hivi kama mti husio zaa UNAAMBIWA ungolewe shambani hauna tija,wewe uzalishi unakulaje?

Sisi WANANCHI tuliopo huku Aliko aliyekuwa anaongoza shirika ilo tupo mbioni kumfukuza haiwezekani tuongozwe. Na mkuu wa mkoa aliyearibu shirika la Umma nyie mnandaa futari?na picha mnapiga mnavyosonsomora aise?
Fikirieni mara mbili!.
View attachment 2585988View attachment 2585989View attachment 2585990View attachment 2585991
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye (Mb) amekuwa Mgeni Rasmi katika Futari iliyoandaliwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam Tarehe 12 Aprili, 2023.
HATA NDUGAI ALISEMA NCHI ITAUZWA LAKINI MPAKA LEO HATUJAUZWA ACHA KUCHAFUA KULICHAFUA SHIRIKA
 
Kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kujiendesha Kwa Hasara ni shirika la TTCL mpaka imefika hatua inashauliwa yakuwa lianchane na biashara ya kuuza line libakie kusimamia barua za sanduku la posta na mkongo wa Taifa.

Kabla halijajibu Hoja Kwa Nini linajiendesha Kwa Hasara linaandaa FUTARI NA MGENI RASMI NI WAZIRI WA HABARI, fedha za kuandaa futari zimetoka wapi?mnaendelea kututia hasara hivi kama mti husio zaa UNAAMBIWA ungolewe shambani hauna tija,wewe uzalishi unakulaje?

Sisi WANANCHI tuliopo huku Aliko aliyekuwa anaongoza shirika ilo tupo mbioni kumfukuza haiwezekani tuongozwe. Na mkuu wa mkoa aliyearibu shirika la Umma nyie mnandaa futari?na picha mnapiga mnavyosonsomora aise?
Fikirieni mara mbili!.
View attachment 2585988View attachment 2585989View attachment 2585990View attachment 2585991
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye (Mb) amekuwa Mgeni Rasmi katika Futari iliyoandaliwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam Tarehe 12 Aprili, 2023.
Marehemu ameamua kula good time kabla hajapelekwa mortuary
 
Kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kujiendesha Kwa Hasara ni shirika la TTCL mpaka imefika hatua inashauliwa yakuwa lianchane na biashara ya kuuza line libakie kusimamia barua za sanduku la posta na mkongo wa Taifa.

Kabla halijajibu Hoja Kwa Nini linajiendesha Kwa Hasara linaandaa FUTARI NA MGENI RASMI NI WAZIRI WA HABARI, fedha za kuandaa futari zimetoka wapi?mnaendelea kututia hasara hivi kama mti husio zaa UNAAMBIWA ungolewe shambani hauna tija,wewe uzalishi unakulaje?

Sisi WANANCHI tuliopo huku Aliko aliyekuwa anaongoza shirika ilo tupo mbioni kumfukuza haiwezekani tuongozwe. Na mkuu wa mkoa aliyearibu shirika la Umma nyie mnandaa futari?na picha mnapiga mnavyosonsomora aise?
Fikirieni mara mbili!.
View attachment 2585988View attachment 2585989View attachment 2585990View attachment 2585991
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye (Mb) amekuwa Mgeni Rasmi katika Futari iliyoandaliwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam Tarehe 12 Aprili, 2023.
What I learn from TTCL.

Kwenye maisha hata kama upo broke, usiache kujispoil.

TTCL hawana hela,biashara zao haziendi,wanawadai watu kibao wasiowajua...kifupi wana stresi kuliko Jobless.... ila kuna mda wanaamua kula maisha kuushtua usmaskini kwenye 5 Star hotel
 
Ushahidi wa wazi jinsi taasisi zinavyoendesha ufisadi wa kimfumo(cartels).

Waziri anayejitambua na muadilifu asingekubali huo ujinga!

Ni wazi kwamba Nape Nbauye yuko kwenye payroll ya hawa majizi!
Pasukaaa
 
Kwenye mitandao ya kijamii miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kujiendesha Kwa Hasara ni shirika la TTCL mpaka imefika hatua inashauliwa yakuwa lianchane na biashara ya kuuza line libakie kusimamia barua za sanduku la posta na mkongo wa Taifa.

Kabla halijajibu Hoja Kwa Nini linajiendesha Kwa Hasara linaandaa FUTARI NA MGENI RASMI NI WAZIRI WA HABARI, fedha za kuandaa futari zimetoka wapi?mnaendelea kututia hasara hivi kama mti husio zaa UNAAMBIWA ungolewe shambani hauna tija,wewe uzalishi unakulaje?

Sisi WANANCHI tuliopo huku Aliko aliyekuwa anaongoza shirika ilo tupo mbioni kumfukuza haiwezekani tuongozwe. Na mkuu wa mkoa aliyearibu shirika la Umma nyie mnandaa futari?na picha mnapiga mnavyosonsomora aise?
Fikirieni mara mbili!.
View attachment 2585988View attachment 2585989View attachment 2585990View attachment 2585991
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye (Mb) amekuwa Mgeni Rasmi katika Futari iliyoandaliwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam Tarehe 12 Aprili, 2023.
Mkuu huo sio utaratib wetu Kujitathmin, kuwajibika kwa wahusika wote. Bali hapa kinachoendelea ni zitapigwa kelele wee vitafanyika viini macho, mwisho wa cku kimya!! The life goes on...
 
Back
Top Bottom