Shirika gani lilikufa na bado linakuuma?

Shirika gani lilikufa na bado linakuuma?

Dahhhh mimi hakuna shirika linaloniuma kama kiwanda kimoja kipo tanga wilaya ya korogwe tarafa ya mombo kata ya mazinde kijiji cha mkumbara kuna kampuni moja pale ilikuwa inaitwa TEMBO CHIPBOARDS LIMITED daa nikikumbuka jinsi lilivyobinafsishwa harafu yule muwekezaji kuendesha anavyotaka na mwisho wake kufunga tu kampuni kama kibanda cha chips na kuondoka na kwa sasa hapafai na wananchi wanaoishi maeneo yale kuathirika kwa hali hiyo kwa kiasi kikubwa serikari ikawa inaangalia na uvundo wa viongozi walioko ngazi za juu kuliona harafu kulinyamazia kimya ndio nilipoamini viongozi wa nchi hii hawapo kwa maslahi ya nchi bali ni kwa maslahi ya familia zao. ila ipo siku mungu atalipa yote haya. watu wamezurumiwa haki zao serikari inaona yote hayo dahh, acha tu ila yana mwisho
 
natamani TRA nalo life kabisa kama hayo mengine ila kila siku lazidi kuchanua kama CCM
 
hivi mmesahau redio za philips kiwanda kilikuwa Arusha, je Tanzania foods inaumaaaaa, acha tu
 
Kiwanda cha chuma na kiwanda cha mbolea tanga navikumbuka sana
 
Wana bodi najua wengi wenu mnakumbuka baadhi ya mashirika yalifilisiwa na mengine kubinafisishwa kwa bei ya chee!mfano NBC namengineyo mengi!ila mimi nakumbuka mashirka kama NASACO,TANGANYIKA PAKERS,TACOSHIL;MANG'ULA,FAIBERBOARD,GENERAL TYRE,na mengineyo!mimi lina niuma GENERAL TYRE je wewe?[/Q
MIMI NAUMIA TENA NAPATA MAUMIVU HADI LEO KITENDO CHA KUVUNJA SHIRIKA LA VIFAA VYA ELIMU TANZANIA.
 
hivi yatakuja kufufuliwa mashirika yote yaliyokufa.!
 
Mimi inaniuma sana kwani vifo vya mashirika hayo yalienda sambamba na vifo vya timu zao jamani,kimichezo tomeporomoka maana makampuni ya sasa hayana time na timu!BIG UP AZAM!Q
 
General tyire yaani nikiangalia matairi ya kichina na hii yana ya kenye hapa napata hasira kabisa.
 
General tyire yaani nikiangalia matairi ya kichina na hii yana ya kenye hapa napata hasira kabisa.
Na kiukweli YANA ilichangia kuua hili shirika maana General iliingia mkataba na continental YANA waingia na Firestone wakaua na Chakwetu!
 
Back
Top Bottom