Shirika gani lilikufa na bado linakuuma?

Shirika gani lilikufa na bado linakuuma?

"Shirika la ugawaji" nakumbuka Enzi la ulanguzi viroba vya mchele, sukari, unga na maharage kila wiki havikosi home!! Kie kie kie


Sent from my EyePhone
 
Tupeane pole kwa misiba hii. Kiwanda cha uchapaji Printpak (ambacho kilikuwa na Tanganyika Standard Newspapers na baadaye kutenganishwa). Kilikuwa ndiyo tegemeo la nchi kwa machapisho yote ya vitabu vya elimu. Tena kimeuzwa kama zawadi vile. Historia ya nchi hii inaendelea kuwa tata kila kunapokucha. Kuna maswali mengine wajukuu wangu nashindwa kuwajibu. Naona aibu kwani kwa namna moja au nyingine nami nahusika - sauti yangu haikusikika.
 
NBC,Moproco,Morogoro Tanneries,Mang'ula Mechanical and Machine Tools, Makampuni ya uchukuzi ya Mikoa.Naililia nchi yangu Tanzania. Ndio maana CCM hawataki kuachia madaraka ,kwani wanajua fika haya madudu waliyoyafanya yatawatokea puani.
 
1. N.m.c.
2. Capceco
3. Kamata,
4. Kaudo,
5. Crcu
6. Rtc
7. Ndl,
8. Ndc,
9. Sao hill sawmill,
10. Zzk
11. Mutex
12. Kilitex
 
View attachment 90097ni Kiwanda cha ceramic na moro shoe kama masalia ya viwanda hivyo hapo chini.View attachment 90096





Wana bodi najua wengi wenu mnakumbuka baadhi ya mashirika yalifilisiwa na mengine kubinafisishwa kwa bei ya chee!mfano NBC namengineyo mengi!ila mimi nakumbuka mashirka kama NASACO,TANGANYIKA PAKERS,TACOSHIL;MANG'ULA,FAIBERBOARD,GENERAL TYRE,na mengineyo!mimi lina niuma GENERAL TYRE je wewe?
 
Pale mkoani k!njaro, shirika lililobakia ni TBL, TANARES,(ngozi) Tanzania bag(magunia) NMC, MACHINE TOOLS, SHIMAWIMO,GAPEX, RTC nk yamebaki kumbukumbu. Moja ya ghala la mashirika haya yamegeuzwa kuwa ukumbi wa disco. "laliga" moja kati ya kumbi zinazopiga mziki wa disco. Hivi tulishindwa wapi? Aarrggh,!
 
NMC haijafa mdau. Bado ina wakurugenzi na wafanyakazi wengine wa wa level fulani na mali za NMC zote ndio anatumia Azam na Godown na kiwanja cha Pugu rd ndio Manji kajenga Quality center. Kazi na Tanzania yetu hii.
 
It is very sad! mashirika yote yalikuwa na umuhimu wake kutokana na kusudio la kuanzishwa kwake.Madhara ya transition period yame tugharimu sana.Wahindi walipogundua hivyo tu wakatumia loop hole ya uroho wa viongozi wetu kuwalaghai kwa viji senti na kuchukua viwanda vyetu vingi kwa bei chee,leo hii wanavitumia kama maghala,na wanatumia majengo na ardhi iliyopo kama dhamana ya kuchukulia mikopo ,sasa ni mabillionaire.Hakuna jasiri wa kuhoji,every one is afraid of six feet down! Mkiambiwa wazee wetu waliojitoa muhanga kutafuta uhuru waliweka rehani maisha yao mnakejeri,hamtaki waenziwe.Nyie mmepokonywa kila kitu mnabaki kulalama,na bado,cha moto mtakiona.
 
ZZK,(GAPEX mdingi alikuwa mfanyakazi),TANITA,NMC,na kile cha plastic tanga AMBONI kweli Nyerere alikuwa jiniazi.
 
It is so disgusting kukumbuka tulivyouwa mashirika ya umma kuongeza unemployment
 
Aisee baang mimi amna shirika amabalo nalikumbika kama USHIRI' USHIRIKA KWELI
 
Back
Top Bottom