nanabooty
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 420
- 632
Huyo alikuwa hana sababu ya msingi hasa basi tu kwa vile alikuwa na silaha mda mwingi,
nimewaza tu kama raia nao wangekuwa wanamiliki silaha isee watu wengi sana wangekuwa wanajiua maana kitaa kumejaa shida jamani.
Halafu kuna wengine wakipata watoto wanawatupa....! Uone dunia ilivyo!
nmecheka jmn wakt kuna msiba
Alifanyaje hadi akapata?
AminaMtu yeyote anayejiua kwa sababu yeyote ile, ni ushahidi wa uwepo wa ibilisi (nguvu za giza). full stop!
Ni shetani anavuna mavuno yake. Dawa ni kuyakabidhi maisha kwa Bwana Yesu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu katika statements za uzi huu, hiko kitu kimetajwa na mara nyingi nimesikia wanaojiua kusafirishwa hasa askari wa polisi!Acha kumaliza kusema mkuu,hiyo kiprotoko za polisi inafahamika kwamba jamaa hapaswi kupata heshima ya kijeshi ktk mazishi yake,kuhusu kumsafirisha hiyo hajamaanisha kuwa jeshi LA polisi linamsafirisha LA hasha
5/5
Famous peoples who never had children.
-jesus christ.
-queen Elizabert1
-isaac newton
-Queen latifa
-Angela merkar
-oprah winfrey
-valdimir Lenin
-dalai lama
-frolence nightngale
-mother Teresa
-plato
-lawlence of arabia
-
so sad aiseeeeHABARI MPYA: Askari Polisi Gideon Clement (30) wa kituo kikuu Cha Polisi Mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga amejiua kwa kujipiga risasi asubuhi ya leo wakati akiwa kwenye lindo Benki ya Access tawi la Kahama
Marehemu ameacha ujumbe wa maandishi kwa njia ya simu kwa mke wake akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto hivyo hajaona sababu ya kuendelea kuishi
Taratibu za mazishi zinaendelea
Habari zaidi...
Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga,ACP Richard Abwao amesema sababu za askari huyo kujiua ni kutokana na kutofanikiwa kupata mtoto licha ya kuishi kwenye ndoa na mkewe kwa muda wa miaka mitano.
"Sababu za kujiua kwake ameeleza kwa ujumbe aliotuma kwa mke wake kwamba hana sababu za kuendelea kuishi kwa sababu hajajaliwa kupata mtoto na amekaa kwenye ndoa kwa muda wa miaka mitano na mke wake ambaye ni mwalimu na inasemekana jana alilalamikia sana jambo hilo na alianza kuonesha dalili kwa kumtumia mkewe ujumbe wa simu akieleza kuhusu mali zake vikiwemo viwanja viko wapi",ameeleza Kamanda Abwao.
Kamanda Abwao amesema taratibu za kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Muleba kwa ajili ya mazishi zinaendelea.
Kwann shilling imegeuka ?Zamani wanawake ndio walikua na stress za kukosa watoto,naona shilingi imegeuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ekama baba k
...Yeye mwanaume anajiua, mkewe afanyeje??HABARI MPYA: Askari Polisi Gideon Clement (30) wa kituo kikuu Cha Polisi Mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga amejiua kwa kujipiga risasi asubuhi ya leo wakati akiwa kwenye lindo Benki ya Access tawi la Kahama
Marehemu ameacha ujumbe wa maandishi kwa njia ya simu kwa mke wake akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto hivyo hajaona sababu ya kuendelea kuishi
Taratibu za mazishi zinaendelea
Habari zaidi...
Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga,ACP Richard Abwao amesema sababu za askari huyo kujiua ni kutokana na kutofanikiwa kupata mtoto licha ya kuishi kwenye ndoa na mkewe kwa muda wa miaka mitano.
"Sababu za kujiua kwake ameeleza kwa ujumbe aliotuma kwa mke wake kwamba hana sababu za kuendelea kuishi kwa sababu hajajaliwa kupata mtoto na amekaa kwenye ndoa kwa muda wa miaka mitano na mke wake ambaye ni mwalimu na inasemekana jana alilalamikia sana jambo hilo na alianza kuonesha dalili kwa kumtumia mkewe ujumbe wa simu akieleza kuhusu mali zake vikiwemo viwanja viko wapi",ameeleza Kamanda Abwao.
Kamanda Abwao amesema taratibu za kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Muleba kwa ajili ya mazishi zinaendelea.
Hahaaha...umewaza mbali sanaMbinafsi sana, kwa hiyo kaamua kujiua ili wazazi wake nae wamkose?!