Angevumilia tu bora mradi kafichiwa siri. Labda iwe hata kazi alikuwa hawezi, ila km alikuwa fresh ishu ilikuwa hiyo tu mbona simple sana.Nimemwonea huruma jamaa, most likely atakuwa alishajua tatizo liko kwake.
Sasa issue ni pale ambapo mke atabeba mimba wakati yeye (mume) anajijua ni mbovu. Hapo lazima ajue kwamba kasaidiwa.
Alikosa washauri wazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app