Ufunguzi wa maandamano ya CHADEMA! CCM bado hawajasema

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,928
Tutaelewana tuu..bado CCM hawajasema.. Bado kusema! Itafika mahali watasema

Huu ulikuwa ufunguzi tuu, siku ya Kazi na muda wa Kazi.. Mutable ilikuwa inatestiwa
Kikubwa jeshi limepokea taarifa ya Maandamano na kutoa ushirikiano kwa mujibu wa katiba! Kusema jeshi limeruhusu maandamano ya CHADEMA ni kosa kubwa!

Sasa ndio kazi inaanza .. Tathmini halisi itatoka baada ya Maandamano ya Mbeya, Mwanza, Arusha Kahama na kwingineko..

Bado joto halijapanda na fukuto halijazidi.. Watasema tuu.. Kumbukeni mikutano ya hadhara ilipoanza na zile kejeli walizofanya CCM! Militant ilipokolea na kisu kugusa mfupa mbona walisema!
Same applies kwa Maandamano.. Wanajaribu kubeza na kukejeli kwa mbali lakini wakikumbuka ya mikutano.. Hofu zinawajaa
Tutaelewana tuu.. Kwasasa bado hawajasema! Watasema tuu

Maua yote wapewe CHADEMA! Kwa siku ya kwanza tu ya Maandamano serikali imetoa Bei elekezi ya sukari iliyokuwa inakimbilia 6000 kwa kilo na kukiwa na uhaba mkubwa wa hiyo bidhaa kwa sehemu kubwa ya Tanganyika
m2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MMABO 10 KUHUSU MAANDAMANO YA CHADEMA

1. Maandamano yamehuisha nguvu ya upinzani. Tangu yalipotangazwa hadi leo ni siku 10 tu. Haikudhaniwa kama mwitikio utakua mkubwa, lakini watu wameitika mpaka CCM wakapata pepopunda.

2. Kuna watu bado wanadhani maandamano ni hisani ya Rais. Hawajui ni haki ya kikatiba. Ndio maana "MaCCM" yanampongeza Samia kuruhusu maandamano. Yani yamezoea kudhulumu, hadi haki ya wananchi wanadhani ni hisani ya Rais.

3. Leo Chalamila amejikuta anapiga deki lami peke yake na vibaka wachache wa CCM. Wanajeshi aliojitapa watakuwepo hawajatokea. Iwe fundisho kwa wanasiasa waache kuliingiza jeshi letu tukufu kwenye upuuzi wao. Next time ajifunze kutuliza mshono.

4. Leo hakuna hata mjusi aliyekanyagwa. Hii ina maana bila CCM kutumia polisi hakuna vurugu zinaweza kutokea kwenye maandamano.

5. Wahuni waliopandikizwa na CCM kuvuruga maandamano wamedhibitiwa kama mashoga wanavyodhibitiwa huko Uarabuni. Kuna mmoja ameleta ujinga pale Shekilango akapewa haki yake ya kikatiba hadi Polisi wakamuokoa.

6. Agenda ya maandamano imefanikiwa kuliko maandamano yenyewe. Kila kona ya nchi habari kuu ni maandamano. Hata Bashite ameshindwa kuzuia domo lake, akaongelea maandamano badala ya kuongelea agenda zinazomfanya azungushe "masaburi" nchi nzima.

7. Mbowe ni charismatic leader. Ndiye kiongozi mwenye ushawishi mkubwa kwa wananchi kwa sasa. Mbowe akiongea anaaminika na kueleweka kwa wananchi kuliko Kamati kuu yote ya Kizimkazi ikiongea.

8. Licha ya Polisi kutoa kibali jana usiku lakini watu wamejitokeza kwa wingi. Na hawajasombwa kwa malori. Sasa fikiria wangetoa kibali wiki moja kabla hali ingekuaje? Amini usiamini Chadema ina watu.

9. Agenda za maandamano zilikua 2. Kupanda kwa gharama za maisha na kukataa miswada ya sheria za uchaguzi. Agenda ya kupanda kwa gharama za maisha imeeleweka zaidi kwa wananchi. Agenda ya sheria za uchaguzi inahitaji elimu zaidi itolewe kwa wananchi.

10. Route ya Buguruni hadi UN ni 21KMs na ya Mbezi ni 18KMs. Watu wametembea kote bila kuchoka. Hii ndio nguvu ya umma. Unadhani CCM wanaweza kukata 21KMs kwa mguu? Na vile vitambi vya "tozo" si tutazika nusu ya waandamanaji? CHADEMA ipewe maua yake

Credit: Malisa GJ
FB
FB_IMG_1706151735188.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutaelewana tuu..bado CCM hawajasema.. Bado kusema! Itafika mahali watasema

Huu ulikuwa ufunguzi tuu, siku ya Kazi na muda wa Kazi.. Mutable ilikuwa inatestiwa
Kikubwa jeshi limepokea taarifa ya Maandamano na kutoa ushirikiano kwa mujibu wa katiba! Kusema jeshi limeruhusu maandamano ya CHADEMA ni kosa kubwa!

Sasa ndio kazi inaanza .. Tathmini halisi itatoka baada ya Maandamano ya Mbeya, Mwanza, Arusha Kahama na kwingineko..

Bado joto halijapanda na fukuto halijazidi.. Watasema tuu.. Kumbukeni mikutano ya hadhara ilipoanza na zile kejeli walizofanya CCM! Militant ilipokolea na kisu kugusa mfupa mbona walisema!
Same applies kwa Maandamano.. Wanajaribu kubeza na kukejeli kwa mbali lakini wakikumbuka ya mikutano.. Hofu zinawajaa
Tutaelewana tuu.. Kwasasa bado hawajasema! Watasema tuu

Maua yote wapewe CHADEMA! Kwa siku ya kwanza tu ya Maandamano serikali imetoa Bei elekezi ya sukari iliyokuwa inakimbilia 6000 kwa kilo na kukiwa na uhaba mkubwa wa hiyo bidhaa kwa sehemu kubwa ya TanganyikaView attachment 2882107

Sent using Jamii Forums mobile app
wahenga hawakukosea waliposema,
nanukuu....

"Maskini akipata matako hulia mbwata "
 
MMABO 10 KUHUSU MAANDAMANO YA CHADEMA

1. Maandamano yamehuisha nguvu ya upinzani. Tangu yalipotangazwa hadi leo ni siku 10 tu. Haikudhaniwa kama mwitikio utakua mkubwa, lakini watu wameitika mpaka CCM wakapata pepopunda.

2. Kuna watu bado wanadhani maandamano ni hisani ya Rais. Hawajui ni haki ya kikatiba. Ndio maana "MaCCM" yanampongeza Samia kuruhusu maandamano. Yani yamezoea kudhulumu, hadi haki ya wananchi wanadhani ni hisani ya Rais.

3. Leo Chalamila amejikuta anapiga deki lami peke yake na vibaka wachache wa CCM. Wanajeshi aliojitapa watakuwepo hawajatokea. Iwe fundisho kwa wanasiasa waache kuliingiza jeshi letu tukufu kwenye upuuzi wao. Next time ajifunze kutuliza mshono.

4. Leo hakuna hata mjusi aliyekanyagwa. Hii ina maana bila CCM kutumia polisi hakuna vurugu zinaweza kutokea kwenye maandamano.

5. Wahuni waliopandikizwa na CCM kuvuruga maandamano wamedhibitiwa kama mashoga wanavyodhibitiwa huko Uarabuni. Kuna mmoja ameleta ujinga pale Shekilango akapewa haki yake ya kikatiba hadi Polisi wakamuokoa.

6. Agenda ya maandamano imefanikiwa kuliko maandamano yenyewe. Kila kona ya nchi habari kuu ni maandamano. Hata Bashite ameshindwa kuzuia domo lake, akaongelea maandamano badala ya kuongelea agenda zinazomfanya azungushe "masaburi" nchi nzima.

7. Mbowe ni charismatic leader. Ndiye kiongozi mwenye ushawishi mkubwa kwa wananchi kwa sasa. Mbowe akiongea anaaminika na kueleweka kwa wananchi kuliko Kamati kuu yote ya Kizimkazi ikiongea.

8. Licha ya Polisi kutoa kibali jana usiku lakini watu wamejitokeza kwa wingi. Na hawajasombwa kwa malori. Sasa fikiria wangetoa kibali wiki moja kabla hali ingekuaje? Amini usiamini Chadema ina watu.

9. Agenda za maandamano zilikua 2. Kupanda kwa gharama za maisha na kukataa miswada ya sheria za uchaguzi. Agenda ya kupanda kwa gharama za maisha imeeleweka zaidi kwa wananchi. Agenda ya sheria za uchaguzi inahitaji elimu zaidi itolewe kwa wananchi.

10. Route ya Buguruni hadi UN ni 21KMs na ya Mbezi ni 18KMs. Watu wametembea kote bila kuchoka. Hii ndio nguvu ya umma. Unadhani CCM wanaweza kukata 21KMs kwa mguu? Na vile vitambi vya "tozo" si tutazika nusu ya waandamanaji? CHADEMA ipewe maua yake

Credit: Malisa GJ
FBView attachment 2882111

Sent using Jamii Forums mobile app
UBARIKIWE
 
Back
Top Bottom