The Bastards
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 218
- 348
Habari wakuu,
Kuna hii habari iliyochapishwa na Nipashe kuhs kutokuwepo Kwa siti namba 13 kwenye ndege
Rubani huyo pia anatoa ufafanuzi kuhusu ndege kutokuwa na kiti namba 13 katika utaratibu wa maalum wa safu, akibainisha kuwa kunatokana na imani kwamba namba hiyo ina shida, ni namba hatari kuliko zote katika usafiri huo
Ndege nyingi hazina kiti namba 13. Ninajua ni jambo la kuwashangaza wengi. Mfano, ndege Aina ya ATR 72 au ATR 42 hazina kiti namba 13.
Nimejaribu kupitia pia comments za watu wengi wanadai hata kwenye mahotel, namba 13 haipo
Eti wakuu shida inaweza kuwa nn hapo?
Mshana Jr Robert Heriel Mtibeli ....mnaweza kutusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hii habari iliyochapishwa na Nipashe kuhs kutokuwepo Kwa siti namba 13 kwenye ndege
Rubani huyo pia anatoa ufafanuzi kuhusu ndege kutokuwa na kiti namba 13 katika utaratibu wa maalum wa safu, akibainisha kuwa kunatokana na imani kwamba namba hiyo ina shida, ni namba hatari kuliko zote katika usafiri huo
Ndege nyingi hazina kiti namba 13. Ninajua ni jambo la kuwashangaza wengi. Mfano, ndege Aina ya ATR 72 au ATR 42 hazina kiti namba 13.
Nimejaribu kupitia pia comments za watu wengi wanadai hata kwenye mahotel, namba 13 haipo
Eti wakuu shida inaweza kuwa nn hapo?
Mshana Jr Robert Heriel Mtibeli ....mnaweza kutusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app