fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,415
- 7,968
Hivi unajua kuwa,pengine mimi na wewe,sio watoto wa baba zetu, mama zetu waligongwa nje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
wapuuzi sana watu wa sampuli hiiHata kama tunatumia fake ID hizi thread nyingine zinawadharirisha sana. Hivi huwa mnafikiria kweli madhara ya haya maandishi kwenye umma kwamba yanaonesha wewe ni mtu wa namna gani? Ebu jaribuni kuficha uchi wa akili zenu. Mnajidharirisha.
pole kiswahili chenyewe kinakupa taabu,sio kudharirisha,uhalisia wa dunia haumfanyi mtu kudhalilika,jifunze kuvumilia hoja za watu,hoja hujibiwa kwa kwa hojaHata kama tunatumia fake ID hizi thread nyingine zinawadharirisha sana. Hivi huwa mnafikiria kweli madhara ya haya maandishi kwenye umma kwamba yanaonesha wewe ni mtu wa namna gani? Ebu jaribuni kuficha uchi wa akili zenu. Mnajidharirisha.
safi,ni kweli sio wote ni hivyo nilivyosema,asilimia ni kidogo sanaMimi copy right na baba yangu Wala hatuhitaji dna upuuzi wako peleka sehemu nyingine
kuna kitu nimeona,na pia nilikuwa naongea na rafiki zangu ambao tulikua pamojaUmewaza nini kuuliza swali hilo?
NGOJA WENGINE WAJIBU.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
umaskini wa mawazo ni kitu kibayamamaako alikigawa kwamabaharia waenzi hizo ambao ndio wazee wasasa
ok,hii nilikuwa sijuiNdo maana kwa mganga hawatumii jina la baba wanatumia la mama kwa maana Mama ndie anamjua baba halisi wa mtoto pia kupitia jina la mama waganga wanapata codes number za baba halisi wa mtoto wanapotaka kusoma nyota.
We kivuruge mbona huonekani?naona mwaka umeuanza vizuri huumamaako alikigawa kwamabaharia waenzi hizo🤣🤣🤣 ambao ndio wazee wasasa😁😁😁😁😁
soma hoja vizuri,ndipo nawe utoe mawazo,hata hivyo demokrasia inakupa haki ya kutoa maoniNaona mmeshawachulia poa sana wanawake Hadi mmefikia kuwavua Pichu mama zenu....Yaani umekaa tu ukapata picha mama yako anagongwa na jamaa!duh
Sasa hapo umeandika hoja gani? Ptuuuuuuuuuuuuuuu.pole kiswahili chenyewe kinakupa taabu,sio kudharirisha,uhalisia wa dunia haumfanyi mtu kudhalilika,jifunze kuvumilia hoja za watu,hoja hujibiwa kwa kwa hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kuna ambao sio copyright kivumbi hapo. Unakua ukijua baba ni mzee abdul halafu ukubwani unaambiwa baba ako ni mzee nyangeMimi copy right na baba yangu Wala hatuhitaji dna upuuzi wako peleka sehemu nyingine
Eti na anasema ameandika kwa hoja. Aiseeee, Mungu amsaidie.wapuuzi sana watu wa sampuli hii
Ni kweli Mama yake inaonekana anakigawa sana ndio maana kaandika hivi. Pumbavu kabisa hiki kitoto. Balehe inamsumbua.Naona mmeshawachukulia poa sana wanawake Hadi mmefikia kuwavua Pichu mama zenu....Yaani umekaa tu ukapata picha mama yako anagongwa na jamaa!duh🤔