pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Kuna aliyeua mtoto pale kibaha kwa Kudai sio wake ati
Mkubwa anaanzia miaka mingapi ?Dah
Miaka 30? Mbona mdogo? au alikuwa anakejeliwa? Poleni wafiwa
Wewe ndo unaharalisha kifo chake kabisa....kama mtoto ni zawadi ina maana jamaa alikosa zawadi, tena kutoka kwa Mungu....Japo hili suala ni gumu kukabiliana nalo lakini,tujue tu mtoto/watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu hivyo hailazimishwi,ni kuendelea kumwomba tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru braza kuirudisha hii avatarHizi zote ni stress zinazo tokana na ugumu wa maisha
Pamoja sana chief
Pamoja na yote angalia ukatili alojifanyia yeye mwenyewe kujiua kwa kujipiga risasi ni zaidi ya kukosa mtoto naamini alikuwa hana huruma na hata yeye mwenyewe vipi hata angepata mtoto angemhurumia vipi pale ambapo angemletea maudhi na makwazo plan B yenyewe isn't a plan at all!Haijakuwa na mashiko kwa sababu hujavivaa viatu vyake,shida isikie kwa jirani yako tu usiombe ikukute.
As human beings huwa tunajisahau sana tunapoona wenzetu wameshindwa pale tuliposhinda sisi ila tujue matatizo yasiyokukuta wewe yakamkuta mwenzako siyo wote wana mioyo ya kusubiri kutafuta plan B ndo maana haya yanatokea.
RIP askari!
Acha kumaliza kusema mkuu,hiyo kiprotoko za polisi inafahamika kwamba jamaa hapaswi kupata heshima ya kijeshi ktk mazishi yake,kuhusu kumsafirisha hiyo hajamaanisha kuwa jeshi LA polisi linamsafirisha LA hashaHili suala la askari kujiua na kusafirisha maiti kwenda kuzikwa kwao limekaaje.
Hawa makamanda sasa hivi wanatumia madaraka yao vibaya, kwa kujua ama kutokujua.
Askari akifa vifo vifuatavyo; kujiua kwa njia yoyote, ama kuuawa akitekeleza uhalifu ama ujambazi, maiti yake huwa haisafirishwi.
Hicho kijeshi kinaitwa kifo cha aibu na mazishi yake hufanywa na manispaa.
Marehemu anayejiua huwa amevunja mkataba na mwajiri wake kwa kipengele cha kuacha kazi ndani ya masaa24.
Uachaji wa namna hiyo wa kazi, mfanyakazi hastahili malipo yoyote ama stahili yoyote ile.
Ninawaomba makamanda wote wa vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama wazingatie viapo vyao na waache kufanyakazi kwa mazoea.
Stahili ya kusafirisha maiti za askari na kufanya mazishi ya heshima ya kijeshi ni za wanaokufa vifo vya kawaida ama vifo vitokanavyo na kutekeleza majukumu ya kazi za kijeshi.
Hivi huyo kamanda akiulizwa ni kifungu kipi cha sheria kinachompa mamlaka ya kusafirisha maiti ya askari aliyejiua anaweza akajibu nini kwa mfano?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo unaharalisha kifo chake kabisa....kama mtoto ni zawadi ina maana jamaa alikosa zawadi, tena kutoka kwa Mungu....
Lakin si kuna kupandikiza? Nafikir ata hapa tz wanaujuzi huuWatu tuna 40yrs hatuna hata wa kusingiziwa na tunaamini Mungu hajapanga ye 30 tu kajiua! Nop Kuna la ziada
Sent using Jamii Forums mobile app