Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,652
Inawezekana alishajaribu sehemu nyingi. Hlf alificha tatizo lake huenda angemueleza mtu angesaidiwaIla ndo miaka 5 tu ndo akate tamaa alafu ni mwanamume tena mwenye miaka 30 tu
Inawezekana alishajaribu sehemu nyingi. Hlf alificha tatizo lake huenda angemueleza mtu angesaidiwaIla ndo miaka 5 tu ndo akate tamaa alafu ni mwanamume tena mwenye miaka 30 tu
Amekata mapema tamaaIla ndo miaka 5 tu ndo akate tamaa alafu ni mwanamume tena mwenye miaka 30 tu
Kweli inaonekana yy alikua na tatizo na kashafatlia mda mrefu hakupata jibu. Na coz alikua na mke, ina mana hi ishu ilishajulikana kwa koo zote mbili baina yao mana ni 5yrs so kila mtu alijua, kazini alipo, marafiki, girlfrends aliokua anajuana nao, akajihic mpweke sana, akaona aende tu no wayItakuwa aligundua yeye ana tatizo, ingekuwa tatizo lipo kwa mke jamaa angetafuta mwingine wa kuzaa nae! Sad!
Eeeeeh!!! Maisha matamu ivii jamani mtu unaamua kurudisha number ??? Apumzike anapostahilaiseee hii ni hatari, mwingne mwez novemba mwaka jana alijitandika risasi mdomoni kisa cha kumpa mimba denti.
Mmh, sababu ya kujiua hairidhishi.
Ndiyo maana wakati wengine wanawake wanabeba mimba za nje ili wanaume zao wasijiue.
Cc 100 Likes
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi alidharauliwaDah
Miaka 30? Mbona mdogo? au alikuwa anakejeliwa? Poleni wafiwa
Ugumu wa maisha gani mkuu ? Mtu ana viwanja kumi na nyumba mbili , soma vizuri BossHizi zote ni stress zinazo tokana na ugumu wa maisha
Na Nani mkuu ?
Basi inawezekana stress ndio wanahamishia kwa raiaNilijua wanaishi maisha mazuri, maana wanavyo nyanyasa Raia
Angeomba ushauri kwa bashiteJogoo alikuwa hana risasi?
Alitakiwa hata kuasili mtoto.
Kakosa ushauri nasaha, R I P
Sent using Jamii Forums mobile app