colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,896
Duuh hatar , angemuomba m.mungu kwa dhati mtoto angeejaaliwa bila shaka
Kweli subira ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli subira ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mishahara yao mbona haina tofauti na watumishi wengine wa serikali tena wao wana faida zaidi maana hata kwenye daladala hawalipi na mapumziko (off) huwa wanapewa achilia mbali likizo ya miezi 3 kila baada ya miaka mitatu ambazo zote hizo ni fursa za kufanya shughuli zingine za kujiongezea kipatoAskari Wana ugumu wa maisha mkuu
Alikuwa anaandamwa na pepo la kifo tangu mwanzoni mwa wiki hii
Jr
nimehisi ivo pia na washkaji ndo chanzo kumpigia kelele vp wew huna mtoto mpk sas anajiona hana thman tena ktika jamii iliyomzunguka..pole kwa wafiwaInategemea na Jamii aliyo kuwa anaishi nayo walikuwa wanamatashi gani kwake.
HahaaaaaaaMbinafsi sana, kwa hiyo kaamua kujia ili wazazi wake nae wamkose?!
Kukosa mtoto kusikie tu kwa jiraniSababu haina mashiko...anyway mwenyezi Mungu amuweke panapostahili.
Mfano Piere liquid konk fayaaa mzee babaWatu tuna 40yrs hatuna hata wa kusingiziwa na tunaamini Mungu hajapanga ye 30 tu kajiua! Nop Kuna la ziada
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugumu wa maisha yao uko wapi mkuu ukizingatia hii serikali imesimama upande wao sana saivAskari Wana ugumu wa maisha mkuu
Kweli. Mmmhh hicho kitu cha kukosa mtoto hlf imeonekana mmojawapo ana tatizo kinauma sana...watu wasikie tu....ila tatizo kubwa litakua katika fikra za mwenye tatizo baada ya kulijua tatizo kweny mwili wake na asipopata ushaur wa kitaalam ndy kama hivy anajiuaKukosa mtoto kusikie tu kwa jirani
Itakuwa aligundua yeye ana tatizo, ingekuwa tatizo lipo kwa mke jamaa angetafuta mwingine wa kuzaa nae! Sad!Kweli. Mmmhh hicho kitu cha kukosa mtoto hlf imeonekana mmojawapo ana tatizo kinauma sana...watu wasikie tu....ila tatizo kubwa litakua katika fikra za mwenye tatizo baada ya kulijua tatizo kweny mwili wake na asipopata ushaur wa kitaalam ndy kama hivy anajiua
R.I.PHABARI MPYA: Askari Polisi Gideon Clement (30) wa kituo kikuu Cha Polisi Mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga amejiua kwa kujipiga risasi asubuhi ya leo wakati akiwa kwenye lindo Benki ya Access tawi la Kahama
Marehemu ameacha ujumbe wa maandishi kwa njia ya simu kwa mke wake akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto hivyo hajaona sababu ya kuendelea kuishi
Taratibu za mazishi zinaendelea
Habari zaidi...
Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga,ACP Richard Abwao amesema sababu za askari huyo kujiua ni kutokana na kutofanikiwa kupata mtoto licha ya kuishi kwenye ndoa na mkewe kwa muda wa miaka mitano.
"Sababu za kujiua kwake ameeleza kwa ujumbe aliotuma kwa mke wake kwamba hana sababu za kuendelea kuishi kwa sababu hajajaliwa kupata mtoto na amekaa kwenye ndoa kwa muda wa miaka mitano na mke wake ambaye ni mwalimu na inasemekana jana alilalamikia sana jambo hilo na alianza kuonesha dalili kwa kumtumia mkewe ujumbe wa simu akieleza kuhusu mali zake vikiwemo viwanja viko wapi",ameeleza Kamanda Abwao.
Kamanda Abwao amesema taratibu za kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Muleba kwa ajili ya mazishi zinaendelea.
JustifyAskari Wana ugumu wa maisha mkuu
Ila ndo miaka 5 tu ndo akate tamaa alafu ni mwanamume tena mwenye miaka 30 tuKukosa mtoto kusikie tu kwa jirani