hebu fanya kumtaja tafadhali...
Likianza shindano la bibi bomba unistue niko narara....
Kwenye bibi bomba lazma nikuache mataa rafiki.
Ila nimeshaforge kadi ya clinic, sijui nigombee umiss? Makeup zitaficha wrinkles
mimi napendekeza miss chagga,khantwe na dinazarde waingie kwenye kinyang'anyiro. Tupe mrejesho nani ni bingwa huku vigezo na masharti kuzingatiwa.
mimi napendekeza miss chagga,khantwe na dinazarde waingie kwenye kinyang'anyiro. Tupe mrejesho nani ni bingwa huku vigezo na masharti kuzingatiwa.
Kwenye bibi bomba lazma nikuache mataa rafiki.
Ila nimeshaforge kadi ya clinic, sijui nigombee umiss? Makeup zitaficha wrinkles
vigezo ni vile vile vya lundega ila umri hatuzingatii coz watanzania wengi hawapendi kudisplay umri wao.