Ablessed ya kujua au kutojua kuimba we waachie majajiMungu wangu mimi huwa siwezi kuimba manake huwa hata sijui naweza sauti ya ngapi .
usijali, utapangiwa sauti sawa na snowhite, utamwigilizia anavyoimba ndo hivyo hivyo....Hahahahahaha mimi huwa naimba sauti zote
afadhali......Ablessed ya kujua au kutojua kuimba we waachie majaji
afadhali......
maana anaanza kujipa maksi mwenyewe, lol!
Sasa si unajua mapambio mtu yeyote anaweza anzisha tu cha msingi waitikiaji wanapaswa kuwa moto. Tena ukizingatia ndio ushawatia moyo na moto wa kuimba lazima waimbe hakuna kuuliza mbona sauti inapanda na kushuka.usijali, utapangiwa sauti sawa na snowhite, utamwigilizia anavyoimba ndo hivyo hivyo....
sasa mama mchungaji huanzishagi hata mapambio? wewe ndo mama mchungaji wa kwanza kukutana naye hajui kuimba, lol!
Mimi ni mwamuziNgoja tuone huo mchujo; Bujibuji naye ni jaji au nimesoma vibaya.
Halafu hili pambano sijui kama litakua fair manake kuna mikoa bwana wana vipaji vya kuimba mimi siutaji mkoa huo wenyewe wapo wanajua. Ngoja nijipendeke kwa snowhite nijue kuimba. Ingawa kuna issue alishaingia mitini hata hajawahi ikumbushishia.afadhali......
maana anaanza kujipa maksi mwenyewe, lol!
Halaf wewe unapaswa uwepo kwenye nafac ya majaji haiwezekani kama hukuwekwa lol. Uwe kama salama kwenye bongo satr search hata sijui kama bado huwa wanamuweka.wakati hiyo ni kazi ya majaji,wanalipwa kwa sababu hiyo tu
Wageni wetu nimetafutia album mpya siyo yahya tena ni kwetu pazuuri
Ngoma ya kwetu ndo nzuri
ile ya kushikana mikono ili tusiibiane mifukoni.
na kwaya inaruhusiwa?
Halaf wewe unapaswa uwepo kwenye nafac ya majaji haiwezekani kama hukuwekwa lol. Uwe kama salama kwenye bongo satr search hata sijui kama bado huwa wanamuweka.
Je unaweza kupigia kura zaidi ya msanii mmojampigie kura msanii unayempenda zaidi ili asiingie kwenye ban list au kudisco