ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
habarini marafiki wote humu mjengoni
Lile pambano la kukata na shoka limewadia tena kistyle ya kipekee sana
tutakuwa tunatembelea kila mkoa wa hapa jukwaani na kutafuta wasanii
amabao watawakilisha TOP20 WA CC. Linalojulikana kwa CC MUSIC AWARD
ya 2013, hivyo majaji tutakuwa tukienda kila mkoa kusaka vipaji vya wasanii watano
ambao watakuja LTHP kwa ajili ya kuanza kinyanganyiro hicho.
ANGALIZO: Wasanii wanaosakwa ni lazima wawe na mvuto wa sura, (avatar)
huu ndo unaomata zaidi, wawe wanatawala jukwaa kiaina, wawe na uwezo wa uimbaji
hasa nyimbo mchanganyiko, wavuke range ya uimbaji na wawe wanajua notation.
wajitume kwa bidii zote. na vilevile wawe watu wenye nidhamu wawapo kambini .
ATAKAYELETA NYODO KUONDOLEWA MASHINDANONI NA HAGOMBEI KABISA
ONYO: UJUMBE WENYE LUGHA CHAFU/MATUSI UFUTE NA DELETE KABISA......
MAJAJI NI:
1. Chief Jugde: ladyfurahia 2. Judge: Paloma 3. Judge Bujibuji Mwaikimba
ZIARANI MKOA WA SIASA
Kutokana namchujo wa nguvu na kukaa kwa siku 3 tumeweza kuwapata wasanii
watano ambao watakawakilisha mkoa wa SIASA , walijitokeza wengi sana na ndipo
majaji tutakaa na kuona kuwa hawa: EMT, Fundi Mchuno Njano5, chankaka
na Buchanan hao ndo bora zaidi kule siasani.
kulikuwa na vituko mbalimbali wako waliokuja kwa style ya kulia, wengine kucheka,
wengine kununa, ilimradi tu ni vituko na majanga, lakini kutokana na jaji Paloma kuchambua sana
ndipo tukaweza pata hao. KIFASTJET ZAIDI
ZIARANI MKOA WA JAMII INTELLIGENCE
Nako bila ajizi walijitokeza wasanii wengi zaidi ya 500, ndipo tukafanya mchujo na
kuweza kupata wa5 watakaoweza kuwakilisha mkoa huo nao ni: Nzi, stroke, Sibonike,
@Blooklyn na C.T.U, ingawaje kulikuwa na vituko vya kisomi zaidi kwani wengi wao waliimba
kiswanglish kisichoeleweka, walikuwa wakijifanyisha kama Michael Jackson ni vituko tu
vilijaa kule yani full kucheka. KIFASTJET ZAIDI.
ZIARANI MKOA WA MMU
Sasa huku ndo majanga tuliyoyakumba, nusura tukimbie mkoa huu yaani full kufurahi na
kushangaa kwa vituko tulivyovikuta wasanii walikuwa wengi sana zaidi ya1500 walikuja kuota
ndoto yao njema. Wengine kwa mavazi waliyoyavaa ni vituko huwezi simulia hapa yani aibu,
wengine walikuja na style ya kimtokotoko, wengine kikanisa, wengine kiblazamen
ilimradi ni full shangwe tu tulichoka sana na tukashindwa kuwamaliza ila tuliowapata
ndo hawa wafuatao😡Afrodenzi, Excellent, matonya, miss strong, Simplicity, Mzee, Bishanga, Kongosho, mwaJ, ummu kulthum, Himidini, Mtoto wa Mkulima, shansare na BAK
WENGINE NI: jouneGwalu, Filipo, Nicas Mtei na mwanadada madame A. KIFASTJET ZAIDI.
ZIARANI MKOA WA ELIMU/LUGHA/BUSINESS FORUM/ SHERIA/JOKES NA KISIWA CHA MAPHOTO
Tuliweza kuwasaka wasanii wanne tu ambao ni: The hammer, MziziMkavu, King Kong III NA LIKUD hao watakawakilisha hiyo mikoa niliorodhesha juu na wao walikuja kwa style ya kipichapicha
tu uimbaji haukuwepo kwao yaani walivaa nguo za wasanii wa mamntoni ili mradi kushindana kwa mavazi
kwanini sisi tulikuwenda kule msaka mrembo bora ndo maana tukaweza ambulia hao watatu lakini haao ni
majanga tu hamna kitu KIFASTJET ZAIDI.
ZIARANI MKOA WA CHITCHAT
Sasa hapa ndo kazi ilichukua takribani masaa 24 kwa siku 7 kila mmojawao anataka ashinde
tulikuwa na kazi ngumu sana cause ndo sehemu ambayo shindano litafanyika na wasanii wengi walikuja
kikazi zaidi wako walioleta njonjo kama sio ndondo, wako waliorumbana na majaji na kusema si lolote hawa,
wako waliokuja kisista duu, kiblazameni, wengine kisomi zaidi, wako waliokuja kama wanashangaa waelewi kinachoendelea,wako waliokuja namagitaa na wakati siye twamtafuta mwimbaji bora na sio chombo chake. Lol!!
Wafuatao ndio waliochaguliwa na majaji kwa mchujo mkali nao ni: Chimbuvu, Mamndenyi, sweetlady, Passion Lady, Lady doctor, charminglady, FirstLady, WiseLady, stevoh, Mtambuzi, Arushaone, Mr Rocky, Donn, Preta, Fixed Point, Smile, amu, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Heaven on earth, heaven on desert, Kipaji Halisi, Himidini, Mwita Maranya, Madame B, madame x, AshaDii, gfsonwin, Lady Unbreakable, mamamia, grafani II, ogopa sana, yaani hawa ndo angalau kidogo wana mwelekeo.
Cha kushangaza na kustaajabisha zaidi yule shabiki wa Timu ya Yanga alivyotia timu ndani CC MUSIC AWARD
na kuanza kutuponda hasa kumponda jaji Paloma kwanini alimwambia aende kushabikia yanga na wakati
yeye ana kipaji cha kuimba na tena amejifundisha zaidi yeye na mwalimu wake mkuu ni Jiwe la D'mnd
yaani ilikuwa ni fani ya aina yake. si mchezo. ungekuwa wewe ndo jaji nadhani ungepandwa na mchecheto wa hasira
na kusema "i hate u" kama yule kichaa wa ZIARA IMEKWISHA TUNARUDI CC SASA
Wasanii tuliowapata 50 tunawachuja mpaka tupate wasanii TOP20 tu ambao mtawapigia kura ili wiki ijayo tuone nani ameeingia kwenye kinyang'anyiro cha TOP20 WA CC MUSIC AWARD 2013.
KAZI KWENU JF KADRI UNAVYOPIGA KURA NDIPO UNAWEZA KUMUWEKA MSANII UNAYEPENDA
KWENYE LIFE LIST KAMA HUTASHINDWA KUMPIGIA KURA BASI ATAKUWA KWENYE BAN LIST AU HATADISCO KWA KWENDA HOME.
KARIBUNI
Wasalaamu
Ladyf
MRATIBU WA CC MUSIC AWARD
Lile pambano la kukata na shoka limewadia tena kistyle ya kipekee sana
tutakuwa tunatembelea kila mkoa wa hapa jukwaani na kutafuta wasanii
amabao watawakilisha TOP20 WA CC. Linalojulikana kwa CC MUSIC AWARD
ya 2013, hivyo majaji tutakuwa tukienda kila mkoa kusaka vipaji vya wasanii watano
ambao watakuja LTHP kwa ajili ya kuanza kinyanganyiro hicho.
ANGALIZO: Wasanii wanaosakwa ni lazima wawe na mvuto wa sura, (avatar)
huu ndo unaomata zaidi, wawe wanatawala jukwaa kiaina, wawe na uwezo wa uimbaji
hasa nyimbo mchanganyiko, wavuke range ya uimbaji na wawe wanajua notation.
wajitume kwa bidii zote. na vilevile wawe watu wenye nidhamu wawapo kambini .
ATAKAYELETA NYODO KUONDOLEWA MASHINDANONI NA HAGOMBEI KABISA
ONYO: UJUMBE WENYE LUGHA CHAFU/MATUSI UFUTE NA DELETE KABISA......
MAJAJI NI:
1. Chief Jugde: ladyfurahia 2. Judge: Paloma 3. Judge Bujibuji Mwaikimba
ZIARANI MKOA WA SIASA
Kutokana namchujo wa nguvu na kukaa kwa siku 3 tumeweza kuwapata wasanii
watano ambao watakawakilisha mkoa wa SIASA , walijitokeza wengi sana na ndipo
majaji tutakaa na kuona kuwa hawa: EMT, Fundi Mchuno Njano5, chankaka
na Buchanan hao ndo bora zaidi kule siasani.
kulikuwa na vituko mbalimbali wako waliokuja kwa style ya kulia, wengine kucheka,
wengine kununa, ilimradi tu ni vituko na majanga, lakini kutokana na jaji Paloma kuchambua sana
ndipo tukaweza pata hao. KIFASTJET ZAIDI
ZIARANI MKOA WA JAMII INTELLIGENCE
Nako bila ajizi walijitokeza wasanii wengi zaidi ya 500, ndipo tukafanya mchujo na
kuweza kupata wa5 watakaoweza kuwakilisha mkoa huo nao ni: Nzi, stroke, Sibonike,
@Blooklyn na C.T.U, ingawaje kulikuwa na vituko vya kisomi zaidi kwani wengi wao waliimba
kiswanglish kisichoeleweka, walikuwa wakijifanyisha kama Michael Jackson ni vituko tu
vilijaa kule yani full kucheka. KIFASTJET ZAIDI.
ZIARANI MKOA WA MMU
Sasa huku ndo majanga tuliyoyakumba, nusura tukimbie mkoa huu yaani full kufurahi na
kushangaa kwa vituko tulivyovikuta wasanii walikuwa wengi sana zaidi ya1500 walikuja kuota
ndoto yao njema. Wengine kwa mavazi waliyoyavaa ni vituko huwezi simulia hapa yani aibu,
wengine walikuja na style ya kimtokotoko, wengine kikanisa, wengine kiblazamen
ilimradi ni full shangwe tu tulichoka sana na tukashindwa kuwamaliza ila tuliowapata
ndo hawa wafuatao😡Afrodenzi, Excellent, matonya, miss strong, Simplicity, Mzee, Bishanga, Kongosho, mwaJ, ummu kulthum, Himidini, Mtoto wa Mkulima, shansare na BAK
WENGINE NI: jouneGwalu, Filipo, Nicas Mtei na mwanadada madame A. KIFASTJET ZAIDI.
ZIARANI MKOA WA ELIMU/LUGHA/BUSINESS FORUM/ SHERIA/JOKES NA KISIWA CHA MAPHOTO
Tuliweza kuwasaka wasanii wanne tu ambao ni: The hammer, MziziMkavu, King Kong III NA LIKUD hao watakawakilisha hiyo mikoa niliorodhesha juu na wao walikuja kwa style ya kipichapicha
tu uimbaji haukuwepo kwao yaani walivaa nguo za wasanii wa mamntoni ili mradi kushindana kwa mavazi
kwanini sisi tulikuwenda kule msaka mrembo bora ndo maana tukaweza ambulia hao watatu lakini haao ni
majanga tu hamna kitu KIFASTJET ZAIDI.
ZIARANI MKOA WA CHITCHAT
Sasa hapa ndo kazi ilichukua takribani masaa 24 kwa siku 7 kila mmojawao anataka ashinde
tulikuwa na kazi ngumu sana cause ndo sehemu ambayo shindano litafanyika na wasanii wengi walikuja
kikazi zaidi wako walioleta njonjo kama sio ndondo, wako waliorumbana na majaji na kusema si lolote hawa,
wako waliokuja kisista duu, kiblazameni, wengine kisomi zaidi, wako waliokuja kama wanashangaa waelewi kinachoendelea,wako waliokuja namagitaa na wakati siye twamtafuta mwimbaji bora na sio chombo chake. Lol!!
Wafuatao ndio waliochaguliwa na majaji kwa mchujo mkali nao ni: Chimbuvu, Mamndenyi, sweetlady, Passion Lady, Lady doctor, charminglady, FirstLady, WiseLady, stevoh, Mtambuzi, Arushaone, Mr Rocky, Donn, Preta, Fixed Point, Smile, amu, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Heaven on earth, heaven on desert, Kipaji Halisi, Himidini, Mwita Maranya, Madame B, madame x, AshaDii, gfsonwin, Lady Unbreakable, mamamia, grafani II, ogopa sana, yaani hawa ndo angalau kidogo wana mwelekeo.
Cha kushangaza na kustaajabisha zaidi yule shabiki wa Timu ya Yanga alivyotia timu ndani CC MUSIC AWARD
na kuanza kutuponda hasa kumponda jaji Paloma kwanini alimwambia aende kushabikia yanga na wakati
yeye ana kipaji cha kuimba na tena amejifundisha zaidi yeye na mwalimu wake mkuu ni Jiwe la D'mnd
yaani ilikuwa ni fani ya aina yake. si mchezo. ungekuwa wewe ndo jaji nadhani ungepandwa na mchecheto wa hasira
na kusema "i hate u" kama yule kichaa wa ZIARA IMEKWISHA TUNARUDI CC SASA
Wasanii tuliowapata 50 tunawachuja mpaka tupate wasanii TOP20 tu ambao mtawapigia kura ili wiki ijayo tuone nani ameeingia kwenye kinyang'anyiro cha TOP20 WA CC MUSIC AWARD 2013.
KAZI KWENU JF KADRI UNAVYOPIGA KURA NDIPO UNAWEZA KUMUWEKA MSANII UNAYEPENDA
KWENYE LIFE LIST KAMA HUTASHINDWA KUMPIGIA KURA BASI ATAKUWA KWENYE BAN LIST AU HATADISCO KWA KWENDA HOME.
KARIBUNI
Wasalaamu
Ladyf
MRATIBU WA CC MUSIC AWARD
Last edited by a moderator: