Shilingi yetu aibu tupu

Shilingi yetu aibu tupu

Pata darsa dogo:

Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000

Kenya, dollar 1 = KES 87 Kenya mkate huo huo = KES 90

Congo Dollar 1 = CDF 920 Congo mkate huo huo = CDF 1500

Yupi bora hapo?

Kwa mfano mafuta wakiagiza in bulk ni nafuu kwao.
 
Pata darsa dogo:

Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000

Kenya, dollar 1 = KES 87 Kenya mkate huo huo = KES 90

Congo Dollar 1 = CDF 920 Congo mkate huo huo = CDF 1500

Yupi bora hapo?

Hiyo Faiza inategemea pia material ya kutengeneza huo mkate inapatikana wapi, unaweza kuta Congo wanaagiza ngano toka nje wakati tz tunaipata ndan ya nchi kwahiyo sio rahisi kufanya comparison!
 
Sometime strong currency sio indication ya uchumi kuwa juu mfano ni china
 
asante kwa ushauri, lakini kumbuka ukisema unauza wafanya biashara wa madini wanazingua, sana lakini ukiwa na dola unachgua wapi uuze kwa bei nzuri
 
Hiyo Faiza inategemea pia material ya kutengeneza huo mkate inapatikana wapi, unaweza kuta Congo wanaagiza ngano toka nje wakati tz tunaipata ndan ya nchi kwahiyo sio rahisi kufanya comparison!

Hapo utakuwa umeelewa somo kwa kiwango chako cha ufahamu.

Hata iwe mmoja kautoa unga kwenye mars na mwingine kautoa uvunguni mwa kitanda chake, kinacho matter hapo ni mlaji kaununuwa mkate shillingi ngapi?
 
Hapo utakuwa umeelewa somo kwa kiwango chako cha ufahamu.

Hata iwe mmoja kautoa unga kwenye mars na mwingine kautoa uvunguni mwa kitanda chake, kinacho matter hapo ni mlaji kaununuwa mkate shillingi ngapi?

Sio kweli kila nchi ina zao lake inalozalisha km zao husika halizalishwi ndani na linaagizwa kutoka nje bei haiwezi kuwa sawa kwani kunakuwepo kodi na garama zingine za usafirishaji, ungetolea mfano kwa bidhaa ambazo nchi zote tatu zinaagiza nje ningekuelewa lkn kwa mkate sio sawa
 
Sio kweli kila nchi ina zao lake inalozalisha km zao husika halizalishwi ndani na linaagizwa kutoka nje bei haiwezi kuwa sawa kwani kunakuwepo kodi na garama zingine za usafirishaji, ungetolea mfano kwa bidhaa ambazo nchi zote tatu zinaagiza nje ningekuelewa lkn kwa mkate sio sawa

Unasahau kuwa unaweza kuzalisha lakini ukawa ghali kuliko kuagiza nje. Na unaweza kuzalisha na ukawa rahisi sana kuliko nje kwa kuwa bidhaa yako haina ubora.

Pia kuna kitu kinaitwa "subsidy" kisome upate uelewa.

Uzalishe usizalishe, yupi ni bora kwenye mfano wangu wa mkate hapo juu?
 
Aidha....kufananisha thaman shilingi yetu na zingine ni vyema ukaangalia na kipato na mfumuko wa bei
 
Cc Mwigulu Nchemba Ndiye Mchumi Daraja La Kwanza Pale BOT MuuliZe,Tena Subiri Mia Tano Ya Sarafu Soon.CCM OYEEE!

Hili suala la mia tano ya sarafu linadhihirisha ukila.za wa wanauchumi wetu! Wameshindwa kuboresha hiyo noti ya sasa?
 
Last edited by a moderator:
Na kufananisha thaman ya pesa unaweza pia kupima shiling 10,000 kwa sasa inanunua bidhaa ngap ukilinganisha na miaka mitano iliyopita
 
Waulizeni mwigulu, r..tz demand inaongezwa na safari za mkulu, wizi wa mali za uma, kujitajirisha kwa watoto wa mkulu
 
Tulikua tunawacheka wazimbabwe sasa nao wametuacha mbali ni aibu tupu sijui ccm wanatupeleka wapi!

Mkuu, wazimbabwe hawana hata fedha yao mpaka sasa baada ya kuachana nayo kwa kukosa thamani kabisa. Wanatumia dola ya Marekani na Rand ya SA..
 
Kipaumbele chetu ni siasa za fitina, visasi na maji taka. Mambo ya uchumi waachie wenyewe, sie hata wachumi wetu ni wadau wa siasa tajwa hapo juu!
 
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.
Hii hali ilivyo na uchumi wetu ulivyo kuna tatizo,ingawaje kuwa chini kwa thamani ya shilingi kungeweza kuwa na manufaa kwa tanzania lakini hapo inapoenda si pazuri sana,kushuka au kupanda kwa thamani ya sarafu moja ukilinganisha na nyingine unasababishwa na vitu vingi kuwa na impact moja,kuna vitu ambavyo serikali ingechukua hatua ingesaidia,kama matumizi ya dollar au sarafu nyingine Tz wakati sisi tuna sarafu yetu,kuna haja gani ya kuwa na shilingi wakati naweza kutumia dollar kila mahali?waziri anajibu swali bungeni unaona ni jinsi gani Tanzania inaweka nyuma vipaumbele vyake for the sake of others!....nimetembea sehem nyingi,kenya huwezi tumia dollar hotel yoyote,india ndio balaa kabisa,sisi tunbungaa eti,sheria na taratibu za kimataifa....huu ndio ubepari..bila kupambania maslahi yetu hakuna atae kutetea...!
 
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.
Shilingi ilikuwa wakati wa Nyerere sio sasa nyakati za wasanii. Sasa kama jamaa wamepiga minada viwanda vyote alivyojenga Nyerere, mashirika yote ya uma, migodi, mbuga za wanyama, ardhi nk nk shilingi yenu itakuwaje na thamani wakati ninyi ni waagizaji tu hamzalishi?????!!!! Ukimuuliza muhusika akiwa anakula bata huko ng'ambo kwanini ninyi ni masikini anasema umasikini kwake ni lugha ya kigagagigikoko hata haelewi maana yake na kwanini tuwe masikini wakati yeye sio masikini!
 
Matatizo yenu makubwa ni elimu finyu.

Thamani ya Shillingi ikiwa kubwa inakusaidia nini Mtanzania?

Ni wakati wa kutumia fursa hiyo ku export bidhaa zetu badala ya kulalamika.

Mimi dada FF huwa nakuheshim.sana Ustaadhat lakini leo dada'ngu umepotoka sana. Thaman ya fedha ikiwa vizuri hasa kwenye soko la ushindani wa matumiz ya dollar ni muhimu sana bila kujali raia mmoja mmoja ananufaikaje. Kuna mifano hutolewa humu kuwa Yen au Yuan ziko chini sana ya dollar karibia sawa na Rand ya SA, au Kshilling! Je tutasema Kenya wana uchumi bora kuliko Japan(Yen) au China( Yuan)? Jibu ni hapana. Lakin wao Wachina na Wajapan wanasababu zao kushusha thaman dhid ya dollar. Mojawapo ni kuwa wao bidhaa nyingi wanatengeneza na kuuza nje, hawaagizi. Kwa nchi zetu hizi ambazo bidhaa za kuagiza nje ni nyingi kuliko tunazouza/safirisha nje, ni muhimu tena ni LAZIMA hela yako ijitahidi kufukuzana na dollar , na ukiweza iwe tarakim 3 ni bora zaidi
 
Back
Top Bottom