Pata darsa dogo:
Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000
Kenya, dollar 1 = KES 87 Kenya mkate huo huo = KES 90
Congo Dollar 1 = CDF 920 Congo mkate huo huo = CDF 1500
Yupi bora hapo?
kenya mkate wauzwa ksh45-50. Hizo ya 90 ni ile ya 800g.
Ukilinganisha ubadilishanaji wa sarafu mttu huangalia mapato ya wafanyikazi na bei ya bidhaa zinavyoagizwa kutoka nje. Kwa mfano ni mwalimu wa shule za upili aliye katika daraja ya kiingilio analipwa aje kati ya Kenya na Tanzania kisha uangalie bei ya kununua gari.