Shilingi yetu aibu tupu

Shilingi yetu aibu tupu

Anlaysis ya uchumi haiko hivyo mkuu, demand ya dollar kwenye hizo nchi husika ni ndogo, ndio maana dollar ipo chini

kwa kawaida maoni ya mchumi kuhusu thamani ya fedha na maoni ya mtu wa kawaida (layman) hayawezi kufanana.

hebu kwanza kaangalieni south korean won na usd.. halafu linganisha exchange rate ya hela ya congo na usd.

wapi fedha yao ipo juu... na wapi uchumi wao ni imara.. congo au s.korea..
 
Kitu cha mia tano
1404774918938.jpg
 
Pesa ya south sudan kwenye vita ni 1 to 25, pulla ya bots 1 to 5.5, sisi tuendelee tu na ccm yetu
 
Matatizo yenu makubwa ni elimu finyu.

Thamani ya Shillingi ikiwa kubwa inakusaidia nini Mtanzania?

Ni wakati wa kutumia fursa hiyo ku export bidhaa zetu badala ya kulalamika.
 
Matatizo yenu makubwa ni elimu finyu.

Thamani ya Shillingi ikiwa kubwa inakusaidia nini Mtanzania?

Ni wakati wa kutumia fursa hiyo ku export bidhaa zetu badala ya kulalamika.

Akili zako finyu, ni afadhali mwenye elimu finyu kuliko mwenye akili kama zako. Siku zote mnawaza kuwarubuni watanzania maskini tu. Vitu kibao vinanunuliwa kwa dola huko nje na vingine mpaka huku vinauzwa kwa dolar. Unadhani wafanyabiashara wataviuza kwa bei ya chini?

Mmegeuza viwanda vyote kuwa magodauni unategemea tutaexport nin? Mbona unajivua ukweli na kutaka kujivika uongo.?
 
Somalia wana import nn? Au congo? Very lower level of thinking, kukua kwa import kunaendana na demand for dollar baada ya kuongezeka uzalishaji, congo inaweza ikawa juu coz higher mineral export as opposed to tz

Very lower level of thinking... kama kutoku-import ndiyo sababu ya pesa yao kuwa na nguvu kuliko yetu ni bora basi na sisi tusi-import ili pesa yetu iimarike
 
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.

Yes, tuna hali mbaya, lakini nikuulize swali, hivi unajua hata misingi ya hizi exchange rates au unabwabwaja tu
 
Tulia mkuu tunao wachumi daraja la kwanza waliobobea pale wizarani na Benki kuu. ..cream kabisa go mwigulu go mkuya go ndullu

huyu ndullu huyu afadhali mara mia yule aliuawa na ma-ccm lakini yuko hai NYC
 
Yes, tuna hali mbaya, lakini nikuulize swali, hivi unajua hata misingi ya hizi exchange rates au unabwabwaja tu

hakuna cha msingi wala boma-the lower the exchange rate on a dollar the best
 
Rais yuko busy kufuturisha unategea nini!!halafu eti makamba naye anataka urais!! Ally hassan,jakaya mrisho then january yusuph!!! No way
 
hakuna cha msingi wala boma-the lower the exchange rate on a dollar the best

Wow... uko juu sana kwa kuelekea chini kiupeo, lazma utakua umesoma Harvard ya Mkwawa au Same

Vipi exchange rate ya YEN nayo dhaifu ukilinganisha na baadhi ya nchi za africa kwa mfano Kenya, au Ethiopia??

Au ndio mcharuko wa kudandia hoja bila kujua mengine aisee
 
Wow... uko juu sana kwa kuelekea chini kiupeo, lazma utakua umesoma Harvard ya Mkwawa au Same

Vipi exchange rate ya YEN nayo dhaifu ukilinganisha na baadhi ya nchi za africa kwa mfano Kenya, au Ethiopia??

Au ndio mcharuko wa kudandia hoja bila kujua mengine aisee
Yen is weaker than Ethiopian Birr or Kenyan shilling. In other words I would rather (be) paid in E Birr or KShs than Yen.
1USD =6BIRR=80YEN=68KSHS
 
Unategemea mini kama hata toothpicks tuna import? Na wanatuchongea tu hadi mianzi!!
 
Hata wazambia wameshatupiga bao na kwacha yao K1=Tsh250
 
Matatizo yenu makubwa ni elimu finyu.

Thamani ya Shillingi ikiwa kubwa inakusaidia nini Mtanzania?

Ni wakati wa kutumia fursa hiyo ku export bidhaa zetu badala ya kulalamika.

unalosema ni sawa. ila badala ya kudevaluate tungeongeza kwanza quality ya bidhaa zetu. coz tunachofanya ni upuuzi mtupu
 
Anlaysis ya uchumi haiko hivyo mkuu, demand ya dollar kwenye hizo nchi husika ni ndogo, ndio maana dollar ipo chini

Kitu kingine, inaweza kuwa advantageous kuwa na weak currency kama mnazalisha na kutaka kuwa competitive katika exports.

Wachina wanaifanya hela yao iwe weak makusudi ili wapate advantage hii. Tim Geithner alipigizana nao kelele sana waiachie Yuan I float kwenye market bila kuiingilia.

Tatizo kwetu hatu export at a level that will pronounce this advantage, so we end up with a weak currency and no significant exports.

The worst of both worlds.
 
Back
Top Bottom