Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,661
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.
heri nasi tuingie vitani?pole sana hii ndio bongo hadi wa vitani wanatupga bao!
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.
Nimejisikia ovyo sana kwani siku zote niliamini ni Kenya tu ndo wanaizidi thamani shilingi yetu! Hadi Wacongo tunaowasaidia hadi vita na waasi?!
Somalia wana import nn? Au congo? Very lower level of thinking, kukua kwa import kunaendana na demand for dollar baada ya kuongezeka uzalishaji, congo inaweza ikawa juu coz higher mineral export as opposed to tz
kwenye shimo la motoTulikua tunawacheka wazimbabwe sasa nao wametuacha mbali ni aibu tupu sijui ccm wanatupeleka wapi!
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.
Anlaysis ya uchumi haiko hivyo mkuu, demand ya dollar kwenye hizo nchi husika ni ndogo, ndio maana dollar ipo chini
Anlaysis ya uchumi haiko hivyo mkuu, demand ya dollar kwenye hizo nchi husika ni ndogo, ndio maana dollar ipo chini
Ndio maana Tanzania imekuwa nchi ya kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kupigia filimbi sarafu ya pamoja kutokana na sarafu yetu kushuka thamani iama ilivyokuwa nchi ya Italia.Ungejua hata ya somalia iko juu ungechoka kabisa,