Shilingi yetu aibu tupu

Shilingi yetu aibu tupu

Nimejisikia ovyo sana kwani siku zote niliamini ni Kenya tu ndo wanaizidi thamani shilingi yetu! Hadi Wacongo tunaowasaidia hadi vita na waasi?!

Fanya utafiti, je Msumbiji tuko sawa au tunawazid au wameshatuzidi?!
 
Kitu kingine, inaweza kuwa advantageous kuwa na weak currency kama mnazalisha na kutaka kuwa competitive katika exports.

Wachina wanaifanya hela yao iwe weak makusudi ili wapate advantage hii. Tim Geithner alipigizana nao kelele sana waiachie Yuan I float kwenye market bila kuiingilia.

Tatizo kwetu hatu export at a level that will pronounce this advantage, so we end up with a weak currency and no significant exports.

The worst of both worlds.

Hili somo limfikie faizaFoxy.
 
Yamaanisha hela ya tanzania haina demand,

Uongo bhana! Yaani kenya dollar moja ni.tsh 100 useme hawaihitaji dollar? Haya, Kenya 1Ksh=18Tsh, je ni kwa sababu hatuihitaji Ksh? Pia kama kwa mfano hela ya Zimbabwe tuseme inaitwa dollar, 1Tsh= 3000Zdollar, basi utasema ni kwa kuwa Wazimbabwe wanahitaji Tsh yetu? Tukubali tu kuwa thaman imepungua, na huo ndo ukweli!
 
Msumbuji ambao tulikua tunawazidi nenda Leo unasema kongo wamakonde WA Msumbiji wametuacga mbaaali kabisa
 
Hayo ndo madhara ya
kuwa na raisi BOGUS . Ni mbaya sana thamani ya pesa kuwa chini kwani
hufanya maisha kuwa magumu kwa wananchi. Export ya nchi hupanda kama
thamani ya pesa ikiwa chini lakini ni mbaya sana inawaumiza watanzania
wa chini. SHENZI CCM, SHENZI BOT.
Wanatuheshimu tu kwa upole na jinsi tunavyowasaidia kuwatokomeza M23 mengine yaliyobakia wanaona upuuzi mtupu.
 
We boga kabisa Congo asilimia kubwa ya madini na misitu watu wanaiba wala hata kodi hawalipi sasa hapa TZ mbona yina madini, raw materials lakini shilingi yetu inazidi kuwa mbaya? Unajua maana ya devaluation of currence? Nchi imekubali iwe hivyo ili wazungu wananchi bidhaa zipande bei na wazungu wanaokuja nchini wao wawe na unafuu kwani wanatumia dola katika huduma kwenye mahoteli na sehemu za utalii.

Hapana mkuu nchi km china ndo wanafanya devaluation purposely ku encorage investment lakini ya kwetu ina undergo depreciation due to low exportation and high demand of foreign currency,uchumi wetu mbovu kilimo kimekufa! angalia sehemu km Bukoba waliua bei ya kahawa watu wakakata tamaa ya kulima hilo zao sijawhi kusikia hata siku moja wametoa ruzuku na mikopo ili watu waendeleze hilo zao!
 
unalosema ni sawa. ila badala ya kudevaluate tungeongeza kwanza quality ya bidhaa zetu. coz tunachofanya ni upuuzi mtupu

Upuuzi ni pale unapoanza ku compare thamani ya pesa yako huku unashindwa kutumia fursa hiyo.

Kuna wakati China walishusha thamani ya pesa zao USA ikapiga kelele na kulalamika sana.

Tusiwe wajinga, tuitumie fursa, anza kwa kusafirisha japo asali, ujionee raha ya kushuka kwa shillingi. Nnakuhakikishia ukianza tu hutotamani ipande tena.
 
Nyie vijana kwani faranga na shilingi ni sawa? Mtakuta mnalingalisha vitu viwili visivyofanana
 
Upuuzi ni pale unapoanza ku compare thamani ya pesa yako huku unashindwa kutumia fursa hiyo.

Kuna wakati China walishusha thamani ya pesa zao USA ikapiga kelele na kulalamika sana.

Tusiwe wajinga, tuitumie fursa, anza kwa kusafirisha japo asali, ujionee raha ya kushuka kwa shillingi. Nnakuhakikishia ukianza tu hutotamani ipande tena.
Sawa...ngoja tuitumie hii fursa sasa labda tutabadili mawazo
 
mimi nilishaliona siku nyingi hilo ,kosa ni kukubali matumizi ya dola kwenye manunuzi ya kawaida kwenye baadhi ya maduka ,mimi nahifadhi akiba yangu ya pesa kwa dola tu
 
Yen is weaker than Ethiopian Birr or Kenyan shilling. In other words I would rather (be) paid in E Birr or KShs than Yen.
1USD =6BIRR=80YEN=68KSHS
And how do you link that with hpja ya uchumi kuwa juu au chini? In other words, kwa kauli yako ya hapo juu ni kwamba ethiopia ina uchumi wa juu kuliko japana...


hahahahaaaa..... Kweli kazi ipo
 
mimi nilishaliona siku nyingi hilo ,kosa ni kukubali matumizi ya dola kwenye manunuzi ya kawaida kwenye baadhi ya maduka ,mimi nahifadhi akiba yangu ya pesa kwa dola tu

Kwanini usihifadhi dhahabu? ambayo hata hao wenye dola wanaihifadhi kama akiba.
 
Pata darsa dogo:

Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000

Kenya, dollar 1 = KES 87 Kenya mkate huo huo = KES 90

Congo Dollar 1 = CDF 920 Congo mkate huo huo = CDF 1500

Yupi bora hapo?
 
Nikiwa Lubumbashi kuelekea Kishansa nimeambiwa dola moja ya Marekani sawa 1doller=950falanga ya Congo! Wakati sie 1doller=1700TSH! Shenzy type BOT.

Pata darsa dogo:

Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000

Congo Dollar 1 = CDF "950" Congo mkate huo huo = CDF 1500

Yupi bora hapo?
 
Pata darsa dogo:

Tanzania, dollar 1 = TZS 1,700 mkate mmoja TZS 1,000

Kenya, dollar 1 = KES 87 Kenya mkate huo huo = KES 90

Congo Dollar 1 = CDF 920 Congo mkate huo huo = CDF 1500

Yupi bora hapo?

Wote majanga lakini afadhali Kenya na Congo.
 
Back
Top Bottom