Shilingi yazidi kushuka, 1 USD = 2223Tsh

Shilingi yazidi kushuka, 1 USD = 2223Tsh

Usalama wa currency yetu siyo mzuri.... Kwa speed hii sitashangaa ikigonga 4000 hadi jamaa atakapokuwa anatoka!!!
 
Dodoma kwenyewe hakuendeki pesa za kuhamia Dodoma zimenunua mabomu ya machozi na zingine ni kwa ajili ya posho za polisi pindi waliwapiga mabomu Wapinzani, waziri mkuu yupo busy na kuficha njaa na kumsaka faru Dume akiwa Dsm hataki kwenda Dodoma pia,walisema watahamia Dodoma haraka wote wapo Dsm hakuna Dalili tena,kama viongozi wanadanganya umma unadhani wananchi wanajifunza nini hapo? Sasa ni mwendo wa ahadi hewa...,,
Eti Ccm yajenga nchi!watu waone sasa!
 
Sasa namba zinajidhihirisha wazi, shilingi inashukaa kwa kasi sana. Ni juzi tu ilikuwa 2180Tsh kwa dola 1.

Unaambiwa utalii na soko letu la nje limepwayaa.
Wafanyabiashara wengi sasa wana ishi kwa hofu, wengi waanza kubadili fedha zao kwa dola ili kujihakikishia usalama wao kifedha.

Mapato yameshuka, fedha zote za TRA huishia kwenye mishahara na matumizi ya kawaida.
Fedha za maendeleo tunategemea mikopo ambayo bado inaonesha hatufai kukopeshwa.

EU na US sasa hawatoi misaada, nasikia na Mchina huyo kazingua kwenye mkopo wa ujenz wa reli.

Nasikia Wakubwa Dunian wametuacha tulivyo waone Mbio zetu zitaishia wapi.

Wafanyabiashara Kariakoo wengi mbioni kufilisika, madeni ya mikopo inawasumbua. Biashara haziendi.

Nnii hatma ya hii?
"Unasikia"manake nini?
 
Kwa hio hio ndo technique za kuikwepa note mpya za mafisadi ndo usd zipande hivyo
 
Wanaotakiwa kuzalisha ndio hawa wapo busy mitandaoni wanalialia!
 
Depreciation ya sarafu yetu haina maana kwamba uchumi unateremka, manake kwamba uwezo wetu kwa kuingiza bidhaa kutoka nje au kupeleka watoto wakasome nje kwa mfano utapungua. Lakini wakati huo depreciation inaweza kufanya tuuze sana nje na hivyo kujiongezea fedha za nje. Ni panga ikatayo kuwili.

Ikumbukwe uchumi sio maendeleo, tukiongelea maendeleo tunaongelea uwezo wa watu kumudu maisha yao huku wakipata mahitaji yao muhimu pasipo ugumu. Kwa mtazamo wa kimaendeleo kwa kweli tunadidimia kwa kasi tangu tuchague uongozi mpya.
We kiazi kweli, unatetea nini sasa hapo.
 
DOLA 1= TSHS 2,247:

Wakati tumekazana na;
1. Tani 90,000 za chakula,
2.Tani 1.5M Za chakula,
3. Kuna Njaa NA hakuna njaa
4. Kuna ukame NA hakuna ukame.

Tumeisahau kabisa SHILINGI yetu, naona inaporomoka dhidi ya dola ya marekani kila baada ya dakika chache.

Wiki iliyopita DOLA 1 ilikua inauzwa Tshs 2190. Leo Dola 1 inauzwa kwa Tshs 2,247

NB: UPOROMOKAJI HUU NI WA KASI YA AJABU
 
Yaani katika vitu ambavyo huwa sielewi ni haya mambo ya kushuka na kupanda kwa thamani ya fedha
 
Ngoja tuone speed ya kuporomoka. Niliangalia less than a week ago conversion rate ilikuwa ni U$ 1 = T shs 2,183.wenu bado
Hali ya uchumi ni mbaya kwa kweli na huu ukame ukiendelea basi gharama za maisha zitakuwa hazishikiki kwa mfumuko wa bei.
Ila naona magufuli anawasaidia kufuatilia mambo ya uchumi ingawa uwezo wenu bado mdogo sana,trend ya exchange rate imekuwa unachezea hapo kwa mda mrefu sana,sasa hizi cheap politics zenu kamwambieni mbowe
 
Kikwete ndo alituachia hili balaa, Unamkata mtu Jina Kwa chuki binafsi... maana yake ni chini?
Hili ni pigo kuu Kwa taifa la Tanzania ambalo litabaki kuwa kumbukumbu.
Swali, miaka kumi na huyu mtu kweli? Nchi itakuwa Kama Zimbabwe.
Kwa hiyo huu uozo mnaoandika humu ni kwa sababu ya ATM yenu kukatwa! Mwambieni haitatokea akawa raisi wa hii nchi
 
Acha ujinga wako wewe! Wengine uchumi tumeanza kufuatilia siku nyingi sana. Ungekuwa unaelewa mambo ya uchumi usingeandika pumba zako humu. Fuatilia ili uone miezi michache kabla ya awamu ya kikwete kuisha shilling ilianguka kwa kiasi gani, na kuanguka huku si ajabu ni mwanzo mwingine wa speed kubwa ya kuanguka.

Ila naona magufuli anawasaidia kufuatilia mambo ya uchumi ingawa uwezo wenu bado mdogo sana,trend ya exchange rate imekuwa unachezea hapo kwa mda mrefu sana,sasa hizi cheap politics zenu kamwambieni mbowe
 
Kikwete ndo alituachia hili balaa, Unamkata mtu Jina Kwa chuki binafsi... maana yake ni chini?
Hili ni pigo kuu Kwa taifa la Tanzania ambalo litabaki kuwa kumbukumbu.
Swali, miaka kumi na huyu mtu kweli? Nchi itakuwa Kama Zimbabwe.

Kikwete tunamsingizia. Jamaa si aligombea akiwa mtaa WA pili? Kwa nini hakupewa kura/kula? Watanzania wana mahaba na CCM. Kama huamini subiri 2020.
 
Zile fedha za MCC zingekuwa kinga nzuri dhidi ya kuporomoka sarafu yetu
Sasa nchi yote ispokuwa Mtukufu na yule mteule wa Jecha tunateseka,kwa kuwa asilimia kubwa ya bidhaa zetu zinanunuliwa na fedha za kigeni
Bado miezi michache kuhitimisha bajeti nchi kifedha ni hoi bin taabani,hakuna ajira wala miradi ya maendeleo ILIYOTENGEWA 40% na kujisifia sana

Kijana acha bla blah...huwezi kufanya maendeleo kwa kutumia pesa ya jirani. Magufuli Ana ideas nzuri kwamba tuache kuwa tegemezi. Mjadala unaohitajika ni Je tutafikaje huko? Kwangu Mimi MCC is just another lazy way of keeping our country dependant on these mzungus.

Ila Sasa kama taifa tujadiliane tutafikaje huko mbele?
 
Sasa namba zinajidhihirisha wazi, shilingi inashukaa kwa kasi sana. Ni juzi tu ilikuwa 2180Tsh kwa dola 1.

Unaambiwa utalii na soko letu la nje limepwayaa.
Wafanyabiashara wengi sasa wana ishi kwa hofu, wengi waanza kubadili fedha zao kwa dola ili kujihakikishia usalama wao kifedha.

Mapato yameshuka, fedha zote za TRA huishia kwenye mishahara na matumizi ya kawaida.
Fedha za maendeleo tunategemea mikopo ambayo bado inaonesha hatufai kukopeshwa.

EU na US sasa hawatoi misaada, nasikia na Mchina huyo kazingua kwenye mkopo wa ujenz wa reli.

Nasikia Wakubwa Dunian wametuacha tulivyo waone Mbio zetu zitaishia wapi.

Wafanyabiashara Kariakoo wengi mbioni kufilisika, madeni ya mikopo inawasumbua. Biashara haziendi.

Nnii hatma ya hii?
Mkuu, kabla ya kufikia hitimisho, kwanza jipe nafasi ya kufanya utafiti kodogo, hata kupitia mitandao utapata baadhi ya majibu.

Labda nikuulize mambo machache, je wajua kwamba Benki Kuu ya marekani iliamua kupandisha riba yake (fed rate), december 2016? Je wajua hii ina maana gani ki uchumi, na hasa juu ya thamani ya dola ya marekani?

Pia, jaribu kuringanisha takwimu kati ya thamani ya dola ya marekani na pesa nyingine kubwa kubwa kama pesa ya uchina,nk. Ringanisha katika kipindi kinachofanana yaani hata kuanzia december 2016 mpaka hapa tulipofikia, utaona pia hizo pesa nazo zimeshuka thamani dhidi ya dola ya marekani..

Nikufahamishe tu, thamani ya pesa ya Tanzania inabadirika badirika kutokana na mambo mengi, yapo mambo yatokanayo na mienendo ya masoko huko duniani, na tunajikuta sisi Tanzania hatuna jinsi ya kuzuia kuathiriwa na mienendo hio, hasa ukizingatia technolojia ya hivi sasa inaifanya dunia kuwa kama kijiji.
 
Acha ujinga wako wewe! Wengine uchumi tumeanza kufuatilia siku nyingi sana. Ungekuwa unaelewa mambo ya uchumi usingeandika pumba zako humu. Fuatilia ili uone miezi michache kabla ya awamu ya kikwete kuisha shilling ilianguka kwa kiasi gani, na kuanguka huku si ajabu ni mwanzo mwingine wa speed kubwa ya kuanguka.
Ngoja nikusaidie wewe mfugo wa Lowasa, June 2015 exchange rate ilikuwa TZS 2260/USD wakati June 2004 ilikuwa 1,014.
The highest exchange rate for the past 10years ni hiyo 2260 ambayo ilikuwa June 2015.
Wewe ni tutusa tu hauna unalojua kuhusu uchumi, nenda tena wakuelekeze cha kujibu maana nikianza kuongea na wewe kuhusu haya mambo utakuwa unanipotezea mda wewe mfugo wa Lowasa.
 
....mfugo wa lowasa baba yako na mama yako. Wewe ni muhuni na fisadi mwingine tu mganga njaa. Ungekuwa kweli unaipenda Tanzania usingekubali kutumika na wahuni, wezi, wala rushwa, majangili, watoa rushwa, wanaofilisi Tanzania kwa kusaini mikataba ya kifisadi kuhusu rasilimali za nchi, Tanesco n.k. Hujitambui mpumbavu kabisa wewe na wala hujui chochote kuhusu uchumi. Ungekuwa unaujua uchumi kamwe usingekaa kimya pale huyo fisadi anayelipuka anafanya mambo mbali mbali ambayo yanaathiri uchumi wa nchi ikiwemo kuvuruga mzunguko wa pesa nchini na kudai eti anabana matumizi ya Serikali halafu anaenda kurumia trilioni 1 nje ya bajeti bila kuwa na idhini ya Bunge. Kazana kuandika pumba humu naona unatafuta uDC kwa nguvu kwa kujitoa ufahamu wa kupigia makofi uozo unaoendelea nchini.

Ngoja nikusaidie wewe mfugo wa Lowasa, June 2015 exchange rate ilikuwa TZS 2260/USD wakati June 2004 ilikuwa 1,014.
The highest exchange rate for the past 10years ni hiyo 2260 ambayo ilikuwa June 2015.
Wewe ni tutusa tu hauna unalojua kuhusu uchumi, nenda tena wakuelekeze cha kujibu maana nikianza kuongea na wewe kuhusu haya mambo utakuwa unanipotezea mda wewe mfugo wa Lowasa.
 
Back
Top Bottom