Shikamoo Pesa Pub-Sinza YAFUNGWA!

Aaaah suzi weeeeeeee..wapi wali nazi,,,,,mbona ntakufa na kiu ya taska mie mtoto wa kihehe....fred usitufanyiemhivi bana watu tumewekeza hapo....
Mkuu Kigogo,Suzzy alishaondoka yupo mwingine, Chezea Tentemente la MAMA SHUGHULI!Fred usitufanye hivyooo. Chimbo letu.
 
Kiroooba aleee kiroba eeeeh! Acha nkutingishe nipate maweengee!
 
Hayo matukio lukuki yameniacha hoi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

Ipo sehemu gani sinza aisee?
 
Mukuje viwanja vya wastaarabu Mbezi beach, Mikocheni, Msasani & Masaki muone waungwana wanavyopata kiustaarabu.

Ukileta za kuleta kila mtu na yake tena kali kuliko kitoy chako, ukitukana watu unatumiwa nyuki wakufuatilie kimyakimya.
 
Shikamoo pesa na Marahaba zote kwa wasio zifahamu zipo Sinza White Inn opposite na club ya DeFrancee
 
Mukuje viwanja vya wastaarabu Mbezi beach, Mikocheni, Msasani & Masaki muone waungwana wanavyopata kiustaarabu.Ukileta za kuleta kila mtu na yake yena kali kuliko kitoy chako, ukitukana watu unatumiwa nyuki wakufuatilie kimyakimya.
Weka facts Baa ipi? sio una-taja maeneo hata Manzese kuna za ukweli kuliko za ulipopataja CHEDHEA SAVANNAH ya TIP TOP?
 
Tuambie basi kijiwe kingine chenye vituko kama vya Shikamoo Pesa ili tuwe tunajivinjari mkuu
 
Pole marehemu ulafi umekuponza pumnzika kwa amani.
 
Shikamoo pesa na Marahaba zote kwa wasio zifahamu zipo Sinza White Inn opposite na club ya DeFrancee

Kaka shikamoo pub na marahaba pub ziko sinza white inn kweli! Ila zote kwa sasa zimefunikwa na carribian pub kiwanja kipya kwa opposite.

shikamoo pesa pub iko sinza mori!kiwanja cha ukwel kwa smart people..ila hapajafungwa kama mleta uzi anavyosema coz jana nlikuwa hapo na kawaida huwa nakaa kaunta kumuangalia dada wa kaunta pale.

kwa shisha hapako poa kama shisha ya dagaa dagaa pale uwanja wa sanaa sinza legho..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…