MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Sawa ntawasalimia.
Kumbe huko kwenu sukari imepungua bei? Mbona kwetu bei bado ni ileile 3000 kilo![]()
![]()
![]()
mhh huku kibaoni wengne wanauza 1300 kbs !robo hawauzi ,hyo unapewa bule
Sawa ntawasalimia.
Kumbe huko kwenu sukari imepungua bei? Mbona kwetu bei bado ni ileile 3000 kilo![]()
![]()
![]()
yeyeHuyo wa mbele ni Seth singasinga au jamaa mwingine tu?
Alipigwa bao kivipi?Ngosha akiona hivyo anafurahi na kucheka mpaka jino la mwisho. Si alipigwa bao!!!!!!!
Shikamoo jelayeye
Inaonesha unapenda sana chai wewe.Sawa ntawasalimia.
Kumbe huko kwenu sukari imepungua bei? Mbona kwetu bei bado ni ileile 3000 kilo![]()
![]()
![]()
Duh hilo neno la kwanza umesemaje mamito?Qumamaqe na bado hapo wamepewa likizo ya Pasaka tu
Hata mm nimeingia mashaka..hv huyo wa mbele ni yule singa singa au dingi yake ??
huyu wambele ndo yule boss mwenywe wa IPTL. .??
Kitambi kimeenda wapii.
Daaah nimelia kwa uchungu![]()
INAUMA SANA SANAhuyu wambele ndo yule boss mwenywe wa IPTL. .??
Kitambi kimeenda wapii.
Daaah nimelia kwa uchungu![]()
Umeona, uzi mzima masikini wanafurahi! Sidhani kama hao kukonda inawafanya watoto wao watoke shule za kata na Div 1 mwishoni mwa mwaka! Hao ndio watanzania!Kwa hiyo hapo masikini wamefurahi?Imewaongezea ugali?Stupid!
AiseeHakikuwa kitambi lilikuwa puto naona mahabusu wenzake wamempiga bisibisi.