Shikamoo jela!!

Shikamoo jela!!

Sawa ntawasalimia.
Kumbe huko kwenu sukari imepungua bei? Mbona kwetu bei bado ni ileile 3000 kilo


mhh huku kibaoni wengne wanauza 1300 kbs !robo hawauzi ,hyo unapewa bule
 
Huyo wa mbele sina hakika ni Harbinder Sing Seth.. Mwaka Jana tu alikuwa ana kidevu cheusi chote.. Na hata kama kakonda hawezi kuwa Mzee over night.. Atachakaa ndio ila sio kuzeeka. Huyo mbele ni MTU mwingine..
 
768f91c562ecbafcb10b62bb541f53f2.jpg
 
hv huyo wa mbele ni yule singa singa au dingi yake ??
 
huyu wambele ndo yule boss mwenywe wa IPTL. .??
Kitambi kimeenda wapii.
Daaah nimelia kwa uchungu
 
Hivi huko hawaruhusiwi kutoa nywele za kwenye kidevu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom