jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,405
- 2,187
tena Sana Mkuu.INAUMA SANA SANA
Jela sio kuzuri kwa kweli
tena Sana Mkuu.INAUMA SANA SANA
Mbn unamaneno makali sanaQumamaqe na bado hapo wamepewa likizo ya Pasaka tu
Maisha ni mbadilushano tu, ruge alikwenda jela akiwa hana kitambi, kwake naona kimeanza. Hii ni ishara kubwa kuwa unavyofikiri wewe sio hali halisi ilivyo. Na kwenda jela kwa hawa jamaa ufisadi kwa heri kabisa Tanzania
Huyo papii kocha na babakeKweli tena!
Naomba unambie, maana mi naona mapicha picha tu hapo
Hii si ya kufurahia elewa hawa ni suspects bado hawajahukumiwa means wana haki yao ,kitendo cha kuwanyima dhamana ni ukosefu wa haki za binadamu,na hili ndani ya nchi yetu tunalifurahia because hawa sio ndugu zako ila siku yatakapokukuta kwa ndugu yako kupata haya ndio utakapotambua hili ni kosa kubwa;naamini hawa walikamatwa kwa mashinikizo bila hata ya kukamilika kwa upelelezi yakinifu na mbaya zaidi our courts nazo zinaendeshwa kisiasa badala ya kisheria
wasalimie nanjilinji!hawa ndo wametufanya sukari ipaeee !si umeona imeshuka had 1700/kg?
Hii si ya kufurahia elewa hawa ni suspects bado hawajahukumiwa means wana haki yao ,kitendo cha kuwanyima dhamana ni ukosefu wa haki za binadamu,na hili ndani ya nchi yetu tunalifurahia because hawa sio ndugu zako ila siku yatakapokukuta kwa ndugu yako kupata haya ndio utakapotambua hili ni kosa kubwa;naamini hawa walikamatwa kwa mashinikizo bila hata ya kukamilika kwa upelelezi yakinifu na mbaya zaidi our courts nazo zinaendeshwa kisiasa badala ya kisheria
Maisha yapo kasi sana
Hao ndo wamefanya viwanda havijengwi,ila toka wamewekwa kizuizini nchi imejenga viwanda vya kutosha na uchumi umepaaa!!!!!.....Mungu anamuona mfugaji wa chatto.Wacha watu waishi kama mashetani.
Hapo kwenye viroba vya pesa hapoo,wenyewe sasa hivi wanazuga eti ni wakulima na wafugaji baada ya kustaafunaona Singa na Ruge..
Ila ingependeza zaidi angekuwepo yule
~'mama wa hela ya mboga
~aliyekuwa waziri wa nishati
~wale maaskofu
~yule jaji
~wale wa viroba vya pesa nk.
Ewaaa... MBITIYAZA hawa ndio niliokuwa nawafahamu sio hao wanaotoka jela