Shikamoo jela!!

Shikamoo jela!!

Ni vigumu sana kuzielewa akili za waTanzania.........

Kwa akili hizi haishangazi kuona CCM bado anatawala

Mtanzania siku zote anachokisema sicho anachomaanisha.......
 
Kweli tena!
Naomba unambie, maana mi naona mapicha picha tu hapo

huyo mhindi ni Herbinder Set,na LUGEMALILA ! wana wazifa kama sio wadhifa(faranga za kutosha bajeti ya mwaka 2017/2018)
 
Naona wengi hatufurahii justice na kinachotufurahisha ni kuwaona wakiteseka huko jela,

Wengi hatuhoji kama kweli wana makosa au laa mwili wao ukiisha basi raaaha mustarehe kwetu

Hapana bhana hatutafanikiwa kwa kuwaombea mabaya waliofanikiwa

Haki itendeke tu hapo kama wanastahili wafungwe na kama hawastahili waachiwe huru
 
Samahani mi km Mtz naendeleza mila!
je umezaliwa hapa hapa TZ?
2. umekuja lini bongo?(lol)
Mimi ni mtz, nilizaliwa,nimekulia na ninaishi Nanjilinji. Hivyo hao watu nilisikiaga habari zao ila nilikuwa sijui sura zao.
Asante kwa kunitoa tongotongo mamy!

huyo mhindi ni Herbinder Set,na LUGEMALILA ! wana wazifa kama sio wadhifa(faranga za kutosha bajeti ya mwaka 2017/2018)
 
wasalimie nanjilinji!hawa ndo wametufanya sukari ipaeee !si umeona imeshuka had 1700/kg?
Mimi ni mtz, nilizaliwa,nimekulia na ninaishi Nanjilinji. Hivyo hao watu nilisikiaga habari zao ila nilikuwa sijui sura zao.
Asante kwa kunitoa tongotongo mamy!
 
Kwa hali hii, bila shaka hata lile pulizo kwenye tumbo la baniani limeshanywea na kuwa la kawaid. Si unaona, kitambi kwisneiii!

Hebu tupia picha yake kabla ya kuwa hapo tafadhali
 
Kwa hali hii, bila shaka hata lile pulizo kwenye tumbo la baniani limeshanywea na kuwa la kawaid. Si unaona, kitambi kwisneiii!

Hebu tupia picha yake kabla ya kuwa hapo tafadhali
 
Huyu jamaa kwenda jela inaweza ikawa ndio tiba yake ya tumbo. Na lile pulizo nadhani lishapasuka kitambo
 
Naona wengi hatufurahii justice na kinachotufurahisha ni kuwaona wakiteseka huko jela,

Wengi hatuhoji kama kweli wana makosa au laa mwili wao ukiisha basi raaaha mustarehe kwetu

Hapana bhana hatutafanikiwa kwa kuwaombea mabaya waliofanikiwa

Haki itendeke tu hapo kama wanastahili wafungwe na kama hawastahili waachiwe huru
Ndivyo tulivyoumbwa. Mungu aturehemu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom