Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Mzee baba sisemi hivyo kama unachowaza wewe ila kipo ndani ya maisha yangu ndio maana nimesema hivyo mimi nina kipato Cha kawaida demu aliniomba niishi nae binafsi nikawa honest Sana kwake nikamuweleza uhalisia wa maisha pamoja na yote demu akaniambia usiwe na wasiwasi kwakuwa nakupenda na mimi nina kazi yangu nitaishi na wewe no matter what tangu siku hiyo tuna zaidi ya mwaka kwenye mahusiano yetu na ni mwanamke mzuri Sana akipita hiv lazima ugeuke so nakataa kwamba wanawake wote wanapenda wawe wanaongopewa inategemea na nani unakutana nae kuna wengine hawapendi uwe muongo
Haijalishi ni lini au utapita muda gani lazima utapigwa tukio,time will tell us

