Shida ya wanaume humu ni hii

Shida ya wanaume humu ni hii

Mzembe sana huyo. Mkikaa kwenye vikao vyenu mkumbushane mwanaume asikose pesa na machejo angalau awe na kimoja

Madogo hawahudhurii kabisa vikao,,.. Wanajazana ujinga vijiweni na hela hawataki kitafuta..

Next time kikao kitafanyika Chumbageni tanga,, naomba vijana kujeni... Wale wapiga nyeto tuna ajenda yenu msikose...
 
Madogo hawahudhurii kabisa vikao,,.. Wanajazana ujinga vijiweni na hela hawataki kitafuta..

Next time kikao kitafanyika Chumbageni tanga,, naomba vijana kujeni... Wale wapiga nyeto tuna ajenda yenu msikose...
 
Pole Sana Kwa yaliyokukuta ila Sasa Kwa bahati mbaya umewasemea wanaume wote as if umekutana nao wote, nirudie kukupa pole ila nakukumbusha wanaume unaokutana nao mtaani ndio hawa hawa walioko humu sema tunatumia Id fake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom