Shida ya wanaume humu ni hii

Shida ya wanaume humu ni hii

Nilikuambia kudanga siyo kazi ukaachana na mume wako kisa kudanga
Unasura mbaya kama tako lako gumu kama mawe ya mtoni.
Halafu nikadange wapi humu yangenikuta yafuatayo.
1. Nuksi
2.Stress
3.umaskini kama tu gesti inawashinda ndio ukadange huku hamuwezi guest ya elfu 30 kwa siku ndio usiku mmoja kwanja ni mrefu utajiwe ili ufe ndio uweze kwa siku siutakufa acha dhambi uende mbinguni lea hao watoto wako wanaoenda international yenye magari yasiyo na breki.
Woiii usiku wanalala fofo bila yakula kisa walikuwa wanahofu hawatafika home peleka mtoto ISM au Braeburn ambaye mtoto agurantee ya maisha yake bima ya afya .
Pambana na hali yako
 
Wanajifanya wao Wana machine kubwa, wanaweza kwenda hadi bao tano... Mara tulienda vacation na side chick, mara oooh ananipenda lkn simpendi...... Story za vijiweni vinaletwa humu..... Asilimia kubwa ya wanaume wa humu wanamaisha magumu kama magaga ya nyangumi.........ety mwingine anasema yani mie ambae ameishia form 4 na mwingine mwanamke mwembamba simuwez.....kumbe hao wote vibamia mfukoni na mdomoni.... Khaaaaah balaa lipo humu



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Una experience kubwa Sana 🤣🤣🤣🙌🙌
 
nilijua tushakua watu wazima wazee mambo ya drama yameisha,kumbe mnafukuziana aiseee...lol
Na bado sijachoka kukufukuzia, ila iwe ya kiutu uzima bwana. Mambo ya kukashifiana sio poa... waiting for your response Rebecca..hahaha!
 
Kumbe tunakulana sana humu? Hatari hii...
 
Mtu anakaa single kisa avatar yake.
Mtu anaweka fisi anayehema sijui mwingine mjusi aliyebanwa mlango sasa wewe kama upo serious kwanini usiweke bendera ya Tanzania hata ziwa victoria.

Niambie tu upo serious na mwanamke halafu unamadharau. Huna maneno mazuri unatukanatukana watu hii imekaaje sema tu.

Acheni ushoia bwana mwanaume raha mwanaume heshima, humu tumezeeka wote stress hatutaki. Kama unataka uoe Mkenya jua Mkenya atakubinya hiyo dudu yako ataikata aile kama soseji.

Walahi wanajf hasa wanaume mnakera, kwanza waongo pili mnajidai mwanamke awe na hekima ipi wakati wewe hujitambui unataka nini.

Unaonekana huwezi inshu tu na umefulia kwa sababu ngekuwa una weza mambo usingekimbia shoo.

Kuna watu humu wanasemaga ukweli tunaandikiana tu na kunyamaza. Humu wengi hamna nguvu za kiume na hela mnadunduliza mnazo.

Hatuwadharau ila jirekebisheni, kama umeoa sema nimeoa babe. Upewe ya kirafiki sio mtoto analia unadai nitakupigia nipo hospitali. Makelele sana hadi lini.

Wazungu ndio dili tu humu mmechanganywa na malimbwata.
Kama umeshindwa kusimamia shoo wewe kaa kimya halafu muone haya basii.

Hata mtoe vifutio jashooo.
Sijaelewa kabisa, umeandika kwa hasira na kuopanic, what went wrong?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom