Shida ya wanaume humu ni hii

Shida ya wanaume humu ni hii

Nguvu ya mwanaume inategemea na mwanamke mwenyewe!
Mfano unanuka mdomo na k, nguvu zittoka wapi?
Weee usisingizie mbona wamasai wananukaga wale waporini kisa maji ndio shida hapo zamani .

Halafu bado wanaliwa nawanazaa tu fresh .
Ila kuna ukweli nilikuwa na rafiki yangu ananuka hadi kero hadi unakosa hamu ya kula .
Sijui mume wake anafanyegeje
 
Ndoa ipi walionazo wanapumulia gesi tu nafuu hao watoto ambao hawakui.
Nafuu hata wangejiweza hawana nguvu za kiume eti nani anataka ndoa humu walahi sisi tunahitaji kitu kimoja michoro tu ngoja niseme ukweli leo mimi natabia zakuchora wanaume tokea uume wao hadi tabia ili ujue kitu mimi nikishakula chakula mahali sirudii tena ile sahani.

Umeelewa usijichanganye
Sawa mom
 
Usipanic mpenz ....ukitaka wa kukuoa humu ndani utaumia....humu wengi wanandoa zao na wengine ni watoto bado muda wa kuoa.Humu tafuta wa kukupunguzia hamu maisha yaendelee....USIJE ITAKA HARUSI KWA PUPA by Kassim
Umemaliza kila kitu kipenzi
 
Usipanic mpenz ....ukitaka wa kukuoa humu ndani utaumia....humu wengi wanandoa zao na wengine ni watoto bado muda wa kuoa.Humu tafuta wa kukupunguzia hamu maisha yaendelee....USIJE ITAKA HARUSI KWA PUPA by Kassim
Unapenda kupunguza hamu eeh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom