Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Nikukumbushe

mtajua muda umeenda chama gani cha kifamilia mtu akitaka kugombea kwa kufata taratibu anafukuzwa hamtatawala milele kabisa
kidumu chama cha mapinduzi chenye usawa na haki kuliko hiki saccos

Usipotoshe ukweli wewe mtoto wa nyoka (muongo), muulize zzk kitita alichovuta ccm kilikuwa kwa mkataba gani. Kafukuzwa na imekula kwenu, ROI zero for ccm.
 
Last edited by a moderator:
Shibuda km kweli amesema hayo Maneno Mimi nitamuita ni Mpumbavu. Hivi niwaulize nyinyi Mambumbu wa CCM na Act , Mtu akienda kwa Jirani akakuta vitu visivyo faa atasubiri kufukuzwa au ataondoka mwenyewe?. Mi Naona Shibuda ni punguani ndio maana ana ngangania pale. Km hapafai Aondoke.
Dawa sio kuondoka, ni kuweka wazi ujanja unaofanywa na hawa wala ruzuku huku wakihukumu wenzao ili watanzania wajue.Kweli siasa ni mchezo mchafu.
 
Mleta mada unajua kutunga story wewe!kesho tunga ya mapenzi tuone..............Toka lini mtu akasukuma gari akiwa ndani ya gariiii?R.I.P Shibuda (umekufa kisiasa)
 
ChChadema haina haja ya kumfukuza huyu mchumia tumbo mgonjwa wa akili kwani tayari hajulikani kama mbunge wa Chadema kwa ufupi Chadema haioni kamaa kuna mtu aitwae Shibuda.
 
ChChadema haina haja ya kumfukuza huyu mchumia tumbo mgonjwa wa akili kwani tayari hajulikani kama mbunge wa Chadema kwa ufupi Chadema haioni kamaa kuna mtu aitwae Shibuda.
Thubutu, wamfukuze waone atakavyoweka mambo hadharani.Wanafikiri kila mtu ni wa kuonea,kuna wengine ukimwaga mboga wanamwaga ugali.
 
Shibuda km kweli amesema hayo Maneno Mimi nitamuita ni Mpumbavu. Hivi niwaulize nyinyi Mambumbu wa CCM na Act , Mtu akienda kwa Jirani akakuta vitu visivyo faa atasubiri kufukuzwa au ataondoka mwenyewe?. Mi Naona Shibuda ni punguani ndio maana ana ngangania pale. Km hapafai Aondoke.
Acha kutuletea mifano mfu hapa.CHADEMA ni Saccoss.
 
Mada za kipumbav kama hizi hazitujengi ,yapo mambo ya kujadili lakini sio ujinga kama huu.Ni nani anao uhakika kama Hugo Shibuda kasema maneno kama haya?.Wezi wa ESCROW kweli wana nguvu tunasagaulishwa kila sekunde kujadili ujinga kabisa.
Umeona eeh, ndio sababu wamepenyeza rupia ili Chadema imtimue Zitto.Ili wazidi kutamba.
 
Shibuda CHIZI,anasubiri kufukuzwa!Kwanini asijifukuze mwenyewe?:lol::lol::boom:
 
Shibuda si ndo alikuwa anapewa 50000 na zito ili kuosaliti cdm. Akaimbe ngonjera bungeni huyo hana lolote. Utaungana na kundi wakati hijui taratibu za kundi zikoje. Alifikiri cdm wanahitaji ngonjera. Alivyodharauliwa na cdm utafikiri bulldozzer la kufanya clearing and grubbing
 
Shobuda ni karai la zege linatengeneza ruzuku kwa cdm lenyewe likiishi kwa msumivu na kudharauliwa. Litatupwa baada ya kazi ya zege kwisha. Aliondoka ccm alifikiri cdm kuna kula posho za bure
 
Thubutu, wamfukuze waone atakavyoweka mambo hadharani.Wanafikiri kila mtu ni wa kuonea,kuna wengine ukimwaga mboga wanamwaga ugali.
Acha uvivu wa kufikiri Shibuda ana nini yule lol wewe hata hufahamu sijui watokea kijiji gani Bongo pole sana ati mambo hadharani ni wangapi washasema hivyo na hawajafanya lolote.Zaidi ya ubunge alikuwa nani Chadema hata amwage mambo hazarani huyo Zitto mwenyewe kafukuziwa mbali haya sasa amwage habari hazarani.Chademakila leo kina style mupya hata huyo Zitto kwa sasa hajui kitu.Nikupe akiba ya maneno unaisikia au kuifahamu M4C ilijengwa bila ya Zitto wala Shibuda na iko ngangari kupita maelezo hadi Maccm yanajijambia kila uchao kwa mziki wa M4C.
 
Shibuda shibuda hilo ndo snitch letu chadema likiongea hovyo ccm wanaliita wanalipa michapo yote linatuletea chadema.hahaaa. wakoleze wakoleze..hili game ni noumer
 
Chadema ni Saccos ya Mtei inayosimamiwa na mkwe wake Mbowe pamoja na mjomba wake Lema

Extra low thinking capacity,kura millioni 2.4 ilizopata chadema uchaguzi uliopita zilipigwa na ukoo wa Mtei pekee?
 
Mwaka huu tutasikia mengi ndani ya chagadema. Zitto aligusa pabaya ruzuku? Uenyekiti?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom