Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mada za kipumbav kama hizi hazitujengi ,yapo mambo ya kujadili lakini sio ujinga kama huu.Ni nani anao uhakika kama Hugo Shibuda kasema maneno kama haya?.Wezi wa ESCROW kweli wana nguvu tunasagaulishwa kila sekunde kujadili ujinga kabisa.

Hii mada ni zuri sana! sema ukweli unauma, kuona wachaga tonge linawaponyoka hivi hivi respect Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

Mkuu assadsyria nimekuwa ninafuatalia threads zako na kugundua wewe ni mtu wa ajabu kabisa. Hivi nikisema kuwa kwa wachina wanao tuletea substandard products hapa kama damping place wana tofauti gani na wewe nitakuwa nimekukashifu au la?
Sasa basi ni hivi:
Mhs Shibuda akifukuzwa officially na CDM atakuwa amepata heshima ya juu sana. Kwa maana hiyo ni kumuacha alivyo kama si kumdharau. Anaitafuta sana hiyo heshima ya kufukuzwa wakati anasahau kuwa hiyo heshima hataipata kamwe!
 
Bora ccm ikaendelea kutawala lakini siyo chama cha kifamilia.
 
Hii mada ni zuri sana! sema ukweli unauma, kuona wachaga tonge linawaponyoka hivi hivi respect Zitto.


Sasa hapa ndio umeandika kitu gani!!?,maneno ya kinafik haya kwa sababu hayana ukweli wowote.
 
Last edited by a moderator:
kama chama tulioamini inatuambia tukatae katiba ya nchi wakati hata yao ya chama imewakumbatia familia fulani. HATARI.
 
Aisee watakuwa wanamsingizia shibuda, sidhani kama kayasema hayo. that passage is way too direct.

I reserve judgement in this

I totally concur with you, Hakuna cha kutuhakikishia kama Mhe Shibuda kayasema haya maneno. Lakini cha kushangaza ni kuwa kuna washabiki wa Chadema hawa tumii busara ya kufikiri kazi yao ni kuku r up ukawa tuu na kutukana. Sasa akina Shibuda na kukanusha haya maneno sijui watasemaje?
 
Wimbo huu wa ukabila ccm mmeuanza zamani ona hapa;
* Mandela aliongoza ANC tangu 1948-1996
* Fidel castro aliongoza chama toka 1930-1956
*Garmal Abdiel Nasser aliongoza chama chake 1938-1956
* Mao Tse Sung aliongoza chinese community party tangu 1911-1047
* Mahattam Karamchand( Lawyer) aliongoza chama chake tangu 1914-1947
* yowei Mseven tangu 1979-2015
Inategemea haya;
* kiongozi huyo bado anakidhi matarajio na malengo ya wanachama,
- hajavunja katiba
Mwisho Shibuda kama anataka kuwa M/ kiti chadema hawapeani madaraka et kisa wewe..,uwezo,ubunifu na utiifu ndio nguzo
Aende UDP akadai uenyekiti au Nccr Mageuzi hata kwa mtikila tu
 
Watanzania tusiache kuhudhuria mikutano ya CDM tuwaangalie wanavyotoka mapovu jukwaani ila kwenye kura waambulie 25% tu.
 
Tuendelee kuwafariji ukoo huu kwenye mikutano hdi watoe chama mikononi mwa famili, makao makuu juu hdi chini familia
 
Ccm pekee ndo chama chenye uafadhal vngne vyote n ukabila na udin kwa % kubwa sn hkn acyejua kwmb zzk n jembe n mjuz,hakurupuk hana jazba na anapma mambo na kuweka maslah ya taifa mbele ana heshma kubwa
 
hatuzungumzii mtu kuongoza kwa mda mrefu kama ulivyotoa list ya viongozi ila katiba kukiukwa eti mwenyekiti ni mmoja tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom