Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Shibuda we naye......sa wewe kama ni bora kuliko waliomo kwenye Chadema ilikuwaje ulighilibiwa na hao hao "wachovu" hadi ukaingia kwenye chama "kibovu" kama hicho??

pili, je unaijua vema historia jinsi TANU ilivyoanza na kukua hadi kuleta uhuru? tembelea maktaba ujikumbushe kidogo muheshimiwa...
 
Chama kinaongozwa kwa misingi
na katiba.shibuda yupo kwenye target atahamia ACT.subirini muone hatuhitaji wanafiki chadema.
 
....familia ya Rutashobolwa, Tibaijuka na Rugemarila, vipi wewe mbona Ruge hakukupa mgao pamoja na kubwabwaja povu hapa kila siku? Mwambie home boy wako akukumbuke kabla bulungutu halijaisha.

Teh Teh naona ujumbe umekuingia..na bado mwaka huu lazima muone jukwaa chungu na mtalikimbia!

Chadema ni chama cha familia -Shibuda.
 
Wewe mpumbavu kweli aisee, kwanini mnapindisha sheria na taratibu za uchaguzi!? Kama mnajiamini kiasi hicho kwanini msihakikishe uchaguzi ujao unakuwa wa haki na huru halafu tuone ukweli wa mambo kuhusu wapiga kura wa Tanzania wanataka chama gani kiwaongoze?

Teh Teh naona ujumbe umekuingia..na bado mwaka huu lazima muone jukwaa chungu na mtalikimbia!

Chadema ni chama cha familia -Shibuda.
 
nimeipenda kama kweli alichoma katiba ndiyo wakati huo huo angeita waandishi wa habari washuhudie na atangaze kujitoa sio kuomba kufukuzwa AIBU TUPU
 
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.
Kwani alikuwa anaongea kwa kutumia kiungo gani cha mwili?
 
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

1. Kwa hiyo unataka kutuambia msajili wa vyama vya siasa hana akili anasajili tu hata vyama vya familia kuwa vyama vya siasa
2. Nyerere (R.I.P.) alikuwa mwenyekiti wa chama cha TANU na kisha CCM kwa miaka mingapi kabla hajang'atuka?
3. Mtu na chama ni entity tofauti katika sheria, sasa ulitaka watumie jengo bila kulipia
4. Mbona husemi kuwa Kikwete ni Mwenyekiti wa CCM na Ridhiwani mbunge, na Gurumo ni mnikuru!
5. Kwani wanachama wa Chadema umewaona vipofu kama wewe unayepewa pilau ya viazi ulaya na kuchagua ccm hata kama wanakufanya uwe masikini wa mali na akili!?
6. Mmetuchangisha fedha nyingi mkajenga estate za ccm halafu mnaleta dharau, kuna haja ya kugawana mali hizo. Mmesahau kuwa enzi zenu vyuo ilikuwa lazima tujiunge kwenye chama kimoja. Kaa kimya halafu ukasome kwanza historia ya chama chako.
 
Si utamaduni wetu kuwasema vibaya watu walio tuzidi umri,ila naomba niwe mkweli kuwa kati ya wazee wapumbavu wa nchi hii huyu mzee ni mpumbavu mno,nina hakika hata watoto wake watakua wanamuita baba huku wakimdharau,ni vile tu hawana jinsi ya kubadili baba!!always anaongeaga utumbo na mipasho kama mama wa uswahilini
 
CHADEMA IMELENGA KICHWA NA SIO MKIA AKINA SHIBUDA. Shibuda analia na hela ambayo imakatwa na zitto kutokuipata tena maana alikuwa anakula kila mwezi kwa ajili ya usaliti wao
 
Sasa baada ya kugundua sio sehemu sahihi kwake mbona hakuamia kwa magamba wenzake au ndo unafiki unafikini!!!! Atarudi tena bungeni tena mwakani kweli huyu jamaaa....
 
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

utamfukuzaje kichaa
 
Yani mleta mada ana akili kama mama yake,habari haina chanzo.

Pia,kama ni kweli kayasema haya basi anatafuta " nikupe kiiiiiiiick ujulikane!!" Huyu Shibuda angekuwa demu wangekuwa wanajipigia ovyo tu,ni mtu wa kuachia tu.Sielewi kilichomkimbiza kwa mafisadi ni nn? au alitaka kuonja ugongwaji wa upande wa pili?Kafulia vibaya sn,ogopa sn watu wasiokujibu unapoongea,lazima ujione umejititia.BIG UP CDM KWA KUMPUUZA HUYU MWANAMKE SHIBUDA-Shishibaby.
 
CHADEMA haina sababu ya kumfukuza shibuda ili iweje kwanza,aondoke tu
 
Duh! Ndo watanzania! Hakika hizi ni akili ndogo kwenye mambo ya kitaifa.., napita tu..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom