Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 113
Huyu ni mwehu,2shamzoea.HANA TENA MADHARA
Mkuu tupeni uhakika kuwa huyu hana madhara. Una sababu gani ambazo zinakufanya useme hivi?
Huyu ni mwehu,2shamzoea.HANA TENA MADHARA
ubavu wa kumfukuza hamnao, jaribuni muone atakavyowavua nguo cdm.
sioni sababu ya Bavicha kuhangaika na Shibuda. Huyu ni marehemu kisiasa,hata huko CCM walikwisha mchoka. Hakuna kiongozi makini ktk CCM anamheshimu Shibuda. Viongozi wa Bavicha mjishughulishe na kuwaandaa vijana kuchukua uongozi wa nchi ambao utaonyesha tofauti na watawala wa sasa! Hilo ndilo jukumu kubwa lililoko mbele yenu,siyo huu ujinga wa Shibuda!Kwangu mimi Shibuda hana hadhi ya kujadiliwa kabisa. The man has's long past his expiry. Na kinachonishangaza ni kwa CCM kuendelea kumtumia kama shushushu wao ndani ya CDM! Shibuda? Sana sana BAVICHA wanaweza kufanya kazi moja once and for all, wamtangaze Shibuda ni enemy of M4C then waendelee na mambo mengine ya maana. Wapiga kura watahangika naye.
Nimeyapenda maneno ya Shibuda...
"Ukiwapinga Mbowe na Slaa unaonekana mhaini". Mfano wa Wachaga na wasukuma nao lilikuwa ni indirect dongo...
Hapa hamna unafiki wowote. Alichongea Shibuda ni kweli kabisa. CDM kuna udikteta wa hali ya juu na hamna demokrasia ya kweli kama wenyewe wanavyojipambaMnafiki tu. Huna lolote!
Shibuda akifukuzwa ni kumuongezea umaarufu, jinsi umaarufu wake unavyoporomoka hadi CCM wenyewe wanamshitukia ingawa yeye mwenyewe kwa ujinga wake anaona ni sifa.
Muda si mrefu atajikuta anaropoka kumuomba JK amteue Balozi.
Hapa hamna unafiki wowote. Alichongea Shibuda ni kweli kabisa. CDM kuna udikteta wa hali ya juu na hamna demokrasia ya kweli kama wenyewe wanavyojipamba
Kumbuka vigezo na masharti lazima vizingatiwe kwenye kila jambo!~Demokrasia ipo ccm bila shaka hata Bashe, Salim h. Salim, salelii, na uvccm bmoyo ni mashahidi.