Mmeshawahi kuona mtu anaenda kutangaza kugombea kwenye kambi nyingine zaidi ya ya kwake na kuomba mshhenga wake awe "adui yake"? Huyo mtu anapaswa ashughulikiwe kabla hajachafua zaidi. Kuna somo kubwa kwa CDM kupokea magamba kwa tahadhari
Tunawaambia viongozi kwamba uvumilivu wa wanachama sasa umefikia mwisho.Shibuda afukuzwe haraka iwezekanavyo...