boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
Wadai ujana wao utawapeleka pabaya. Wakae watulie, na wajifunze kwa wazee.
Cheyo hakuwa anamsema shibuda ila alikuwa anawaasa wabunge vijana na mbowe
Wadai ujana wao utawapeleka pabaya. Wakae watulie, na wajifunze kwa wazee.
ccm walimtosa akaingia chadema,keshapata ulaji wa kibunge ,je inawezekana kwa chama kumvua mtu ubunge?
Wadai ujana wao utawapeleka pabaya. Wakae watulie, na wajifunze kwa wazee.
tatizo lako una ashumu kuwa wote tumesikiliza bunge. unatakiwa utoe mada na ufafanuzi.
ccm walimtosa akaingia chadema,keshapata ulaji wa kibunge ,je inawezekana kwa chama kumvua mtu ubunge?
Unajua huyu jamaa alikua anaimba mashairi kiukweli si utani, sasa kukoti the whole content ni vigumu. Shibuda ameponda sana CDM, anadai hawana hili wala lile na kwamba yeye anauasili wa sisiem naamegundua kuwa upinzani hamna kitu baada ya kuingia CDM, na kwamba kutoka CCM alianguka kwa bahati mbaya.
tuache longolongo,tuanzishe moment,serikali ing'oke madarakani.Maisha yamekuwa magumu huku bunge likiendelea kupiga soga mjengoni
Alianza kwa kushukuru kama kawaida lakini baadae ni kama alikuwa mshahiri hivi kwa jinsi alivyokuwa akiongea mpaka kengele inagonga akaomba aendelee kama wabunge wataridhia.
Kiujumla siwezi kumquote accurate lakini alikuwa kama mahoka kwa jinsi alivyokuwa akichangia hoja bila mwelekeo. Haaaaah Shibuda ukiendelea hivi sijui kama utafika mbali?