KIBONGOMKUTI
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 1,425
- 605
KIBONGOMKUTI
Mbona huo mlolongo mkubwa mno hivyo?!
Unaweza kukuta watu wanakuwa emotional abused kwenye ndoa wanashindwa kutoka kwa sababu hawawezi kuonyesha wazi mateso, na mmoja kati ya wana ndoa hajakubali kuwa ndoa hiyo haiwezi kuendelea tena.
Something needs to be done, kulegeza masharti hayo.
Hii haijakaa sawa
Ni kweli Gaijin wengi tuna umia/kuumizwa emotionally katika ndoa zetu ila pale unapoona mara baada ya kujaribu njia zote mbadala hakuna uwezekano wa kupata muafaka wa kunusuru ndoa. Ndo maana Sheria zinakuwepo kulinda haki za wanandoa kwa uzoefu Mahakimu/Majaji wengi huwa wanazichukulia Kesi za Ndoa hususani TALAKA kwa tahadhari kubwa ukizingintia kuwa baadhi yao pia ni wanandoa. Kuhusu emotional abuse kwa maana pana ya kisheria inaangukia katika UKATILI be it Mental or Physical. Ifahamike kuwa hakuna mwanandoa anaeamua kama ndoa ivunjike au la bali ni Mahakama ndiyo mara baada ya kuridhika hutoa Hukumu ya Kuvunja Ndoa kisheria.