Sheria inasemaje akifariki mgombea?

Mleta Uzi Kama Unamahusiano Na Jimbo Lililopata Msiba, Itabidi Uchunguzwe.
Maana Uzi Umekuja Muda Mchache Kabla Ya Ajali
 
Hivi ndivyo sheria inasema

f1d33f020cfb99e93e5cd5908d5f493c.jpg
 
Uloi nga mâché68;13969422 said:
We mtoto acha uwongo. Dr Omar Juma alifariki 2001 .Haikuwa wakati wa Uchaguzi. Au ndio shule za Kata?

Mkuu, yule walikuwa ni mgombea mwenza wa mbowe 2005 na uchaguzi ulipelekwa mbele ili ateuliwe mwingine.
 
Uloi nga mâché68;13969422 said:
We mtoto acha uwongo. Dr Omar Juma alifariki 2001 .Haikuwa wakati wa Uchaguzi. Au ndio shule za Kata?

Hahaha 😂😂😂😂😂😂😂
 
hichi kikongwe nacho!! mmmm

Ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kutoka wastani wa Shilingi bilioni 390 kwa mwezi mwaka 2010 na kufikia wastani wa Shilingi bilioni 850 kwa mwezi, mwaka 2014/15
 
Mgombea akifariki mpinzani anapingwa bila kupingwa
Sio kweli, uchaguzi utaahirishwa kwa muda wa siku 90. Kwa sababu hiyo Uchaguzi utaahirishwa kwa muda huo katika jimbo la Lushoto Mjini mpaka UKAWA watakapoteua mgombea mwingine
 
Uchaguzi unaahirishwa..kwani unagombea...

Mnatamani mtu afe ili mpate kupumua? Mtabili wenu aliwadanganya Maana anayejua kifo ni MUNGU tu

Una mpango wa kufa? Una mpango wa kumwua mgombea?
mimi swali langu ni je, mgombea akifa wakati wa kampeini na chama chake kikaruhusiwa kuweka mgombea mwingine, vyama vingine vina ruhusa ya kubadili pia? Kuna chama kinatamani kubadili mgombea ndiyo maana ninauliza.

Hiki kizazi cha Malofa na Wapumbavu kweli kina laana. Mleta mada kauliza vizuri tu tena nahisi ni baada ya mgombea wa jimbo la Lushoto Mohammed Mtoi kufariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo. Anataka kufahamu kuna utaratibu upi endapo tukio kama hili linapotokea lkn mnamshambulia kwa kejeli!! Shenzytype
 
Hivi akifariki mgombea wakati wa kampeni sheria inasemaje wadau?
Chama kina ruksa ya kumuweka mwingine au ndio imetoka?
Akifariki mgombea urais?
Akifariki mgombea ubunge?
Akifariki mgombea udiwani?

Maswali mengine muwe mnayauliza kama wasomi. Hivi kwa akili za kawaida ulitegemea sgeria isemeje mgombea akifariki? Ulitegemea isema kuhusu kumfufua?
 
Ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kutoka wastani wa Shilingi bilioni 390 kwa mwezi mwaka 2010 na kufikia wastani wa Shilingi bilioni 850 kwa mwezi, mwaka 2014/15

mbona ujaelezea matumizi yake yanakwenda wapi? Kama sio kwenye kula na kulipana mishaara?

Hivi wewe una duka alafu unawekeza kidogo unakula sana. Hapo unafanya biashara au unafanya kula?
 
Back
Top Bottom