Sheria inasemaje akifariki mgombea?

Sheria inasemaje akifariki mgombea?

Fanya rejea ya uchaguzi wa 2005; mgombea mwenza wa Freeman alifariki uchaguzi ukasogezwa mbele sikumbu ni muda gani lakini ulosogezwa mbele
 
It depend na uzito wa mgombea maana kusitisha kampeni au kulianzisha zoezi upya ni AGHALI MNO ndg ndoto zako zimeona nini kinakuja mbeleni mdau

Hivi Bavicha mbona huwa mnajifanya wajuaji kila leo lakini vitu vidogo kama hivi hamvijui? Hivi kwanini hampendi kusoma?
 
Fanya rejea ya uchaguzi wa 2005; mgombea mwenza wa Freeman alifariki uchaguzi ukasogezwa mbele sikumbu ni muda gani lakini ulosogezwa mbele
ilikuwaje, huna dondoo utuwekee hapa
 
Hivi Bavicha mbona huwa mnajifanya wajuaji kila leo lakini vitu vidogo kama hivi hamvijui? Hivi kwanini hampendi kusoma?
mimi sipo bavicha wala ccm na hata kura sitashiriki mwaka huu nitaweka tu ndani akiba ya kutosha ya chakula
 
Wajuvi naombeni mwenye uelewa na Mambo hayo atufafanulie!

Je, Ikiwa katika wagombea urais ikatokea kafariki kwa mfano! Ni utaratibu gani utaendelea? je uchaguzi utaahirishwa kwa mda gani?
Ndio
 
Wajuvi naombeni mwenye uelewa na Mambo hayo atufafanulie!

Je, Ikiwa katika wagombea urais ikatokea kafariki kwa mfano! Ni utaratibu gani utaendelea? je uchaguzi utaahirishwa kwa mda gani?
Na ndicho wanataka watawala kitokee ili waahirishe uchaguzi wakajipange upya.
 
Wajuvi naombeni mwenye uelewa na Mambo hayo atufafanulie!

Je, Ikiwa katika wagombea urais ikatokea kafariki kwa mfano! Ni utaratibu gani utaendelea? je uchaguzi utaahirishwa kwa mda gani?
Akifariki mgombea uraisi au mgombea mwenza uchaguzi utaahirishwa for 30 days

Refer 2005 ,mgombea mwenza wa Kamanda Mbowe alitutoka
Uchaguzi ukafanyika November
 
Wajuvi naombeni mwenye uelewa na Mambo hayo atufafanulie!

Je, Ikiwa katika wagombea urais ikatokea kafariki kwa mfano! Ni utaratibu gani utaendelea? je uchaguzi utaahirishwa kwa mda gani?
Hapo naona CCM wanataka kumtoa kafara Mbatia!
 
Back
Top Bottom