kesssyelias
JF-Expert Member
- Jul 13, 2017
- 261
- 273
Wagombea wote hichi.kipengele kipo kwenye ule mkataba na tume ya uchaguzi ndo maana wamesaini kwa msaada.zaidi muone mgombea wako atadadavua zaidi
Kumbe sio anaekufa ngoja chama wafiwa wajeUchaguzi utakuwepo kama kawaida na Tundu Lissu ataapishwa siku ikifika.
Inaaply kwa woteJe hii Ina apply na kwa Mgombea urais pia au ni wagombea wenza tu
Wajuvi naombeni mwenye uelewa na Mambo hayo atufafanulie!
Je, Ikiwa katika wagombea urais ikatokea kafariki kwa mfano! Ni utaratibu gani utaendelea? je uchaguzi utaahirishwa kwa mda gani?
Hivi akifariki mgombea wakati wa kampeni sheria inasemaje wadau?
Chama kina ruksa ya kumuweka mwingine au ndio imetoka?
Akifariki mgombea urais?
Akifariki mgombea ubunge?
Akifariki mgombea udiwani?
Mtoa post inabidi utafutwe utueleze mtoi wetu umempeleka wapi.
Hivi akifariki mgombea wakati wa kampeni sheria inasemaje wadau?
Chama kina ruksa ya kumuweka mwingine au ndio imetoka?
Akifariki mgombea urais?
Akifariki mgombea ubunge?
Akifariki mgombea udiwani?
Ilikuwa 2010, nikiwa form one mwaka huoKama sikosei 2005 uchaguzi ulisogezwa mbele kuna mgombe mwenza alifariki.
Hapana mkuu 2010 Mbowe hakugombea aligombea Dr. Slaa.Ilikuwa 2010, nikiwa form one mwaka huo
mkuu ni 2010, ebu fuatilia vizuriHapana mkuu 2010 Mbowe hakugombea aligombea Dr. Slaa.
Ni 2005...Nafasi ikachukuliwa na Komu.
Duuh....haya mkuu yaishe.mkuu ni 2010, ebu fuatilia vizuri
Baada ya Mkapa kustaafu nani alichukua madaraka ya kuongoza nchi ?Fuatilia
Edit
Nchi ya Tanzania ilifanya uchaguzi wa urais na ubunge mnamo 4 Desemba 2005. Mapema ulikuwa ulipangiwa kufanyika mnamo 30 Oktoba lakini ukahairishwa kutokana na kifo cha mgombea kiti cha Makamu wa Rais. Uchaguzi huu ulikuwa wa tatu tangu nchi hiyo kurudia mfumo wa vyama vingi mnamo 1992. Pia ulikuwa wa pekee kwa kuwa aliyekuwa rais, Benjamin Mkapa, ambaye alikuwa amehudumu kwa kipindi cha miaka kumi alistaafu kulingana na Katiba. Uchaguzi wa Urais wa Zanzibar na wawakilishi katika jumba la wawakilishi ulifanyika mnamo 30 Oktoba, jinsi ilivyokuwa imepangwa.
DOGO USIWE MVIVU WA KUSOMA.
hayaSheria ni maombolezo kisha maziko!
Kwa kweli sijui.Baada ya Mkapa kustaafu nani alichukua madaraka ya kuongoza nchi ?