idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Vipi kuhusu thamani ya shilingi?Ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kutoka wastani wa Shilingi bilioni 390 kwa mwezi mwaka 2010 na kufikia wastani wa Shilingi bilioni 850 kwa mwezi, mwaka 2014/15
2010 billion 390 ilikuwa Sawa na $ dola ngapi na Sasa hiyo billion 850 Sawa $ dola ngapi.?
Au ndio yaleyale ya kushusha viwango vya ufaulu ili wafaulu wengi.!